Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Status
Not open for further replies.
Ni sawa na chadema ni zaidi ya ugaidi, mpaka imesababisha mwandishi wa habari kuuawa, hujui unachokisema, inaonesha una chuki fulani dhidi ya uamsho! Kama watu kudai haki yao ya msingi ni ugaidi basi hata chadema ni magaidi ! acha kukejeli vikundi vya kiislamu vinavyodai haki zao.

Nashangaa sana humu JF, mada ikiletwa ya waislamu wengi wa watu ambao ni chadema hugeuka na kuanza kutoa kejeli, juzi chadema imeandamana hamna lililosema! inaonesha jinsi mlivo na chuki na waislamu, na nawaambia msahau kabisa kuchukuwa hii nchi! tutahamasiaha waislamu wa nchi nzima WASIKIPIGIE CHADEMA, lbad kina Mohammed Mtoi ndio mtakaowapata.

Aliekudanganya kuwa kuna dini inayoweza kutoa RAis peke yake bila kupigiwa kura na watanzania kwa ujumla ni nani???.......Kama ni hivyo Hao CUF waNgeshashinda urais....Lakini hata wakati wa mkapa tena mkristo.....na akawa Kati ya mgogoro wa mwembechai uchaguzi ulzifanyikaa na Hao CUF waliohamasichana wakapigiwa kura na watu wa dini moja na wakiwa ngangari kweli waliambilia 8% ...mkapa 77% .....Hilo likawa funzo kubwa kwa wanaofikiri dini Yao inaweza kuweka Mtu ikulu peke Yao ....
 
Nimekusoma mkuu lakini una bahati mbaya kwa kuwa hakuna chama chochote cha siasa kitakachokizi matakwa yako ya kidini labda sheria ya nchi yetu ibadilike na kuruhusu vyama vya kidini kama kile cha muslim brotherhood cha misri!

Mkuu ndio maamuzi yangu wewe subiri Chadema watakidhi matakwa yako.
 
Aliekudanganya kuwa kuna dini inayoweza kutoa RAis peke yake bila kupigiwa kura na watanzania kwa ujumla ni nani???.......Kama ni hivyo Hao CUF waNgeshashinda urais....Lakini hata wakati wa mkapa tena mkristo.....na akawa Kati ya mgogoro wa mwembechai uchaguzi ulzifanyikaa na Hao CUF waliohamasichana wakapigiwa kura na watu wa dini moja na wakiwa ngangari kweli waliambilia 8% ...mkapa 77% .....Hilo likawa funzo kubwa kwa wanaofikiri dini Yao inaweza kuweka Mtu ikulu peke Yao ....
Huu ni ushauri mzuri sana kwa CDM.
 
Aliekudanganya kuwa kuna dini inayoweza kutoa RAis peke yake bila kupigiwa kura na watanzania kwa ujumla ni nani???.......Kama ni hivyo Hao CUF waNgeshashinda urais....Lakini hata wakati wa mkapa tena mkristo.....na akawa Kati ya mgogoro wa mwembechai uchaguzi ulzifanyikaa na Hao CUF waliohamasichana wakapigiwa kura na watu wa dini moja na wakiwa ngangari kweli waliambilia 8% ...mkapa 77% .....Hilo likawa funzo kubwa kwa wanaofikiri dini Yao inaweza kuweka Mtu ikulu peke Yao ....

Mkuu nimependa sana ulivyofanya reference kwenye hizo takwimu mbona Dr Slaa akipewa hizo takwimu anasema kaibiwa kura.
 
Mkuu ndio maamuzi yangu wewe subiri Chadema watakidhi matakwa yako.

Mkuu rejea mazumzo yako mimi na wewe kwa siku ya leo,tumejadiliana mambo mengi sana tena bila maneno makali.Katika mazungumzo yetu yote hakuna hata sehemu moja niliyoitaja CHADEMA.Mbona unapenda kuitajataja CHADEMA bila sababu ya msingi!Inaonekana CHADEMA inakuudhi sana,pole sana kwa hilo!!
 
Aliekudanganya kuwa kuna dini inayoweza kutoa RAis peke yake bila kupigiwa kura na watanzania kwa ujumla ni nani???.......Kama ni hivyo Hao CUF waNgeshashinda urais....Lakini hata wakati wa mkapa tena mkristo.....na akawa Kati ya mgogoro wa mwembechai uchaguzi ulzifanyikaa na Hao CUF waliohamasichana wakapigiwa kura na watu wa dini moja na wakiwa ngangari kweli waliambilia 8% ...mkapa 77% .....Hilo likawa funzo kubwa kwa wanaofikiri dini Yao inaweza kuweka Mtu ikulu peke Yao ....

Unafurahisha barza, CCM ni chama kisicho na dini, tena fahamu hilo, mle ndani kuna kila aina ya watu na imani zao, sasa wewe unaongelea CUF , mimi binafsi muislamu lakini sijawahi hata siku moja kupiga kura chama kingine kisicho CCM, ila ujue, bila waislamu chadema hakipati kitu, ..umetoa mfano mzuri sana .. so acheni kujikakamua na kujiona mmeshachukuwa nchi ! HAMPATI KITU !
 
Maendeleo gani sasa? Hebu tueleze.

kwa mfano,Ujenzi wa shule za kutosha ili kuelimisha watoto wa kiislamu!uandishaji wa SACCOS za kutosha za kiislamu ili kukopesha wanawake wa kiislamu kwa ajili ya maendeleo ya biashara na kilimo!
 
Kuna walalamikaji kama Lissu na Slaa katika tanzania hii? Mbona huoni hilo.

Mkuu majebere,

Hao hawalalamiki bali wanalila lia hovyo mara waseme wanataka kuuwawa mpaka wanatia huruma.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu majebere,

Hao hawalalamiki bali wanalila lia hovyo mara waseme wanataka kuuwawa mpaka wanatia huruma.
Halafu naona kuna wanacdm baada ya kuona imeshindikana kujijenga kisiasa na maandamano ya waislamu wameamu kutoa matusi juu ya dini ya kiislamu. Wanafikiri waislamu wata nunulika kiulani.
 
Kuna walalamikaji kama Lissu na Slaa katika tanzania hii? Mbona huoni hilo.

Wewe naona unadunda dunda kama kitenesi ,leo tunaongelea hoja za malamiko ya waislamu kama vile suala la sensa,ujenzi wa shule na hospitali zinazomilikiwa na dini,memerundum of understanding between Government and christians affliated organisations.masuala ya Dr Slaa na Lissu yanaingiaje hapa?Jifunze kujenga hoja na kama hauna hoja ni vema kukaa kimya!
 
kwa mfano,Ujenzi wa shule za kutosha ili kuelimisha watoto wa kiislamu!uandishaji wa SACCOS za kutosha za kiislamu ili kukopesha wanawake wa kiislamu kwa ajili ya maendeleo ya biashara na kilimo!
Kwani shule na saccos zilizopo ni kwaajili ya wakristo tu? Mbona mimi najua ziko nyingi tu na mtanzania yeyote anahaki kupata hizo huduma.
 
Shule jamani shule muhimu. Shule muhimu sana jamani...uliondika hapo ni upumbavu usio na kipimo.
Sasa ukihamasisha waislam wasiipigie kura CHADEMA utakuwa umemkomoa nani? Si ndiyo nyie mliohamasishana misikitini kumpigia kura Kikwete kwa kauli mbiu ya 'Uislam kwanza' lakini leo hii mnaandamana eti mmedhulumiwa kwenye zoezi la sensa na mnapanga kuandamana kwenda necta kwa sababu mnafelishwa! Halafu juha wewe utakuta siku nyingine unalalamika mfumo kristo mfumo kristo...Kama mmeamua kuchagua serikali ya ccm inayoendeshwa na mfumo kristu basi ridhikeni nayo. eti tutahamasisha waislam nchi nzima wasikipigie kura chadema...fine, mtautumikia mfumo kristo mnaoulalamikia mpaka milelel

Afadhali ya CCM inajumuisha watu wenye imani na mtizamo mbalimbali kuhusu uislam, lakini kwa mwenendo wanaoonyesha mashabiki wa CDM kwenye JF itakuwa kosa kubwa kuwapa kura CDM. Kimsingi washabiki wengi wa CDM hapa JF wanachuki zaidi ya uislam na waislam kuliko walivyokuwa na chuki na CCM. Mwenyekiti wa CCM akibadilika na mgombea wa urais akitoka kwenye imani yao, si ajabu kuona wengine wakabadilika sana. Leo washabiki wa CDM wanataka kuwashawishi waislam kuwaunga mkono, mbona wao hawakutaka kukiunga mkono CUF pale kilipopigwa propaganda kwamba ni chama cha Kiislam. Tunawasihi wakina Molemo wasikubali kuwaachia washabiki wao kuonyesha kwamba adui yao ni uislam kwa kumoderate comment zao.
 
kwa mfano,Ujenzi wa shule za kutosha ili kuelimisha watoto wa kiislamu!uandishaji wa SACCOS za kutosha za kiislamu ili kukopesha wanawake wa kiislamu kwa ajili ya maendeleo ya biashara na kilimo!

Nchi hii imefikishwa apa tulipo na wasomi wa Kikisristo, ebu nipe faida kidogo nyie wasomi wa Kikiristo mmelisaidiaje taifa letu kutoka kwenye dimbwi la umasikini?
 
Wewe naona unadunda dunda kama kitenesi ,leo tunaongelea hoja za malamiko ya waislamu kama vile suala la sensa,ujenzi wa shule na hospitali zinazomilikiwa na dini,memerundum of understanding between Government and christians affliated organisations.masuala ya Dr Slaa na Lissu yanaingiaje hapa?Jifunze kujenga hoja na kama hauna hoja ni vema kukaa kimya!
hayo maandamano yalikua kwaajili ya waliokamatwa na kunyimwa mzamana. Au kulikuwa na maandamano mengine huko mtaani kwenu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom