Dar Lux kapotezwa?

Dar Lux kapotezwa?

Andrew123

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
8,405
Reaction score
11,196
Niliwahi kufanya interview na mmiliki wa hizi chuma. Full confidence/misifa Kama yote. Nn kimetokea? Uchawi? Alilewa sifa? Customer care? Nchi nyingine hawa wafanyabiashara husaidiwa maana hutengeneza ajira Ila hapa, mpaka utoke damu masikion ndo TRA wakuachie
download (4).jpeg
 
Ukiwa na biashara inayoitaji investment ya 10Bn, halafu wewe una 12 Bn, kuwa makini sana.

Unaweza u kafanya masifa makubwa bila sababu, na yasiongeze sales.

Huyu bwana alianza kwa sifa sana, na investment kubwa, ila hakuwekeza kwenye sales.

Nakumbuka kupanda ma Bus yake twice, yakiwa na watu chini ya 25, nikasema he will fail.

Authentic/Organic growth is a key in business, sio kwa sababu una access na mkopo ukope.

Mimi sijawahi kopa Bank hata 2m, ila nishawahi fuatwa na Bank wakitaka wanikopeshe 200m.

Hii ni baada ya kuona biashara yangu inaenda na inflow and outflow of cash ni nzuri.

Huwezi chukua mkopo sababu umefuatwa na Bank, chukua sababu umeona fursa.
 
Ukiwa na biashara inayoitaji investment ya 10Bn, halafu wewe una 12 Bn, kuwa makini sana.

Unaweza u kafanya masifa makubwa bila sababu, na yasiongeze sales.

Huyu bwana alianza kwa sifa sana, na investment kubwa, ila hakuwekeza kwenye sales.

Nakumbuka kupanda ma Bus yake twice, yakiwa na watu chini ya 25, nikasema he will fail.

Authentic growth is a key in business, sio kwa sababu una access na mkopo ukopo.

Mimi sijawahi kopa Bank hat 2m, ila nishawahi fuatwa na Bank wakitaka wanikopeshe 200m.

Hii ni baada ya kuona biashara yangu inaenda na inflow and outflow lf cash ni nzuri.

Huwezi chukua mkopo sababu umefuatwa na Bank, chukua sababu umeone fursa.
Isitoshe kusema hii comment ndio bora zaidi hadi sasa ndani ya huu mwaka!!
 
Ukiwa na biashara inayoitaji investment ya 10Bn, halafu wewe una 12 Bn, kuwa makini sana.

Unaweza u kafanya masifa makubwa bila sababu, na yasiongeze sales.

Huyu bwana alianza kwa sifa sana, na investment kubwa, ila hakuwekeza kwenye sales.

Nakumbuka kupanda ma Bus yake twice, yakiwa na watu chini ya 25, nikasema he will fail.

Authentic growth is a key in business, sio kwa sababu una access na mkopo ukopo.

Mimi sijawahi kopa Bank hat 2m, ila nishawahi fuatwa na Bank wakitaka wanikopeshe 200m.

Hii ni baada ya kuona biashara yangu inaenda na inflow and outflow lf cash ni nzuri.

Huwezi chukua mkopo sababu umefuatwa na Bank, chukua sababu umeone fursa.
Hapa mwishoni kuna point ngoja niichukue
 
Ukiwa na biashara inayoitaji investment ya 10Bn, halafu wewe una 12 Bn, kuwa makini sana.

Unaweza u kafanya masifa makubwa bila sababu, na yasiongeze sales.

Huyu bwana alianza kwa sifa sana, na investment kubwa, ila hakuwekeza kwenye sales.

Nakumbuka kupanda ma Bus yake twice, yakiwa na watu chini ya 25, nikasema he will fail.

Authentic growth is a key in business, sio kwa sababu una access na mkopo ukopo.

Mimi sijawahi kopa Bank hat 2m, ila nishawahi fuatwa na Bank wakitaka wanikopeshe 200m.

Hii ni baada ya kuona biashara yangu inaenda na inflow and outflow lf cash ni nzuri.

Huwezi chukua mkopo sababu umefuatwa na Bank, chukua sababu umeone fursa.
👍👏🙏💐
 
Biashara za mabasi faida utaanza kuiona kwa wastani wa muda miaka kuanzia miwili.
Kuna biashara ambazo zitakusaidia tu kutengeneza flow nzuri ya pesa , kuweka pesa kwenye mzunguko na kutengeneza discipline nzuri ya pesa lakini si biashara zitakazo kutoa au kukupa utajiri maradufu.

Naweza sema ni kama ile unaona kuliko kukaa na milioni 300 bank, kwa nini usiiweke kwenye mzunguko izae taratibu kuliko kukaa na pesa mwisho utaiharibu kwa matumizi ya ajabu au kutumia hovyo ikaisha.

Ni kama utumie milioni 50 kujenga nyumba utakayoipangisha kwa mwaka upate mil 4, itachukua miaka 12 kuanza kupata faida, lakini ni biashara ambayo unaweza kusomesha watoto wako hadi chuo kikuu wakitegemea kodi ya nyumba, lakini hio mil 50 ungekaa nayo ndani, isingetoboa mwaka.

Biashara ya mabasi ni nzuri kama huna pesa za tia maji tia maji, inapaswa uwe na mfuko wa kueleweka, mapato unaweka bank unakuja kuchungulia account baada hata ya mwaka au zaidi.

Si kila biashara ni kwa ajili ya faida kubwa. Ni baadhi, na unapoanzisha business unakuwa na malengo.
Hatuwezi sema amefilisika, ni maamuzi tu.
 
Nimesema kwenye uzi mwingine, I'll c&p here:

Biashara ya mabasi ni biashara pasua kichwa kuliko zote.

Scandinavia iliyofanya Mapinduzi kwenye hii sekta ilikufa kifo Cha mende.

Hood imekufa.

Sumry chali.

Sauli yupo hoi siku zake zinahesabika, Achimwene got him in the headlock.

Dar express, Dar Lux, Rungwe waliokuwa powerhouse kwenye hii sekta wote wapo hoi. Etc etc

Turnover kwenye hii sekta ni kubwa mno. Kila miaka miwili wanakuja wengine na kupotea kama upepo household names.

Utasema usimamizi na sababu zote ila sio rahisi kuamini hao wote hawajui wanachokifanya. Fanya hii biashara kama unataka kufukia pesa zako.
 
Nimesema kwenye uzi mwingine, I'll c&p here:

Biashara ya mabasi ni biashara pasua kichwa kuliko zote.

Scandinavia iliyofanya Mapinduzi kwenye hii sekta ilikufa kifo Cha mende.

Hood imekufa.

Sumry chali.

Sauli yupo hoi siku zake zinahesabika, Achimwene got him in the headlock.

Dar express, Dar Lux, Rungwe waliokuwa powerhouse kwenye hii sekta wote wapo hoi. Etc etc

Turnover kwenye hii sekta ni kubwa mno. Kila miaka miwili wanakuja wengine na kupotea kama upepo household names.

Utasema usimamizi na sababu zote ila sio rahisi kusema hao wote hawajui wanachokifanya. Fanya hii biashara kama unataka kufukia pesa zako.
Abood na Shabiby ndio wakongwe pekee waliobaki, zaidi ya miaka 25 kwenye game. Na wanazidi kushusha vyuma vipya. Wakongwe wengine wote walishatupa vitaulo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom