Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Jana saa mbili usiku nilifika ofisi za Dar Lux kujua tiketi za kupeleka watu Dar leo na kesho. Mdada mmoja bila aibu akasisitiza basi zilizopo ni za 40,000 eti luxury tu..
Aisee nikachoka kabisa nikiwaza yale mabehewa yetu shida tu yako mbali from Arusha
Mamanager husika tuambieni ni kweli hamna basi chini ya 40,000 ama mmeamua kukimbiza abiria?
Aisee nikachoka kabisa nikiwaza yale mabehewa yetu shida tu yako mbali from Arusha
Mamanager husika tuambieni ni kweli hamna basi chini ya 40,000 ama mmeamua kukimbiza abiria?