DAR kufanana na jiji la NEW YORK!

DAR kufanana na jiji la NEW YORK!

Utangulizi
Hapa hata kije chama gani ni yale Yale tu si unajua hii ndio hulka za ngozi nyeusi tumepata Uhuru sio kwa lengo la kujitawala bali ili tupate kuiba vizuri kwenye utawala Wa kikoloni hatukuweza kuiba ,bora ingekuwa tunatawaliwa mpaka Leo na wazungu tungekuwa mbali sana ona south afrika akili za kizungu zile sio za kiafrika

Main boady
Ili tuwe km nyk city lazima viongozi Wa new York waje hapa bongo na viongozi wabongo waende new York baada ya miaka mitano hapa bongo patakuwa bora zaidi kuliko new York city na kule NY city itakuwa kama bongo ya sasa tuionayo na viongozi Wa bongo watasema tukatembee dar kwani itakuwa nzuri sana
 
tujitahidi kwanza kuwafikia NAIROBI..halafu ndo tuanze kuota ndoto za mchana..
 
Utangulizi
Hapa hata kije chama gani ni yale Yale tu si unajua hii ndio hulka za ngozi nyeusi tumepata Uhuru sio kwa lengo la kujitawala bali ili tupate kuiba vizuri kwenye utawala Wa kikoloni hatukuweza kuiba ,bora ingekuwa tunatawaliwa mpaka Leo na wazungu tungekuwa mbali sana ona south afrika akili za kizungu zile sio za kiafrika

Main boady
Ili tuwe km nyk city lazima viongozi Wa new York waje hapa bongo na viongozi wabongo waende new York baada ya miaka mitano hapa bongo patakuwa bora zaidi kuliko new York city na kule NY city itakuwa kama bongo ya sasa tuionayo na viongozi Wa bongo watasema tukatembee dar kwani itakuwa nzuri sana

hii inaonyesha jinsi gani unajiona inferior....
Poor you..
 
Duh watu mmekata tamaa sana!..kwanini lakini?

Ndugu sio kukata tamaa tu hatuna tofauti ya wafu wanaotembea kuna ambao hawatanielewa lkn kwa waliobahatika kutembea kwenye nchi za wenzetu km usa na kwingineko watanisoma ukikaa kule ukaja hapa kwetu utaona utofauti mkubwa km mbingu na ardhi kibaya zaidi hawa viongozi wanatukatisha tamaa kwa kusema wenzetu wameendelea kwa sababu walianza harakati mapema mimi huwa najiuliza kwani mungu aliwatanguliza wao duniani sisi tukafuata au ni upofu wa mawazo wa hawa viongozi kwa nini china imeweza na sisi tukashindwa hapa sasa ndio wanapotukwaza sisi wananchi labda itokee chama kilichopo kikaondoka madarakani tunaweza ona mwangaza wa kusonga mbele hawa waliopo kwa sasa wamelewa uongozi hawana kumbukumbu ya kitu chochote zaidi ya kula na anasa.
 
Basi usijali tutaweka za akina dimond na wema au zile zinazo zungumzia mapenzi...nadhani hutopata stress....
Uvivu tu!

kwa akili zako mapenzi ndio hayatii stress, sasa wewe ndio una uvivu wa kufiri. hao akina wema na wavaa visuruali vya kubana ndio ukaona ni burudani kwa kila mtu?

ukiwa na upeo mkubwa wa kufikiri utaelewa kwa nini nilikwambia kuwa mada zingine za kutiana stress.

anza kwanza kushughulikia rushwa,kutowajibika kwa viongozi, upeo mdogo walionao wapiga kura wanaoishia kupewa pilau na kanga na elfu kumi wakaishia kuchagua watu kama mulugo, haya ni baadhi tu ya kuanza nayo tukipata majibu ya haya na tukayafanya tutarudi kwenye kulibadili jiji la dar kuwa new york, maana kutakuwa na viongozi wenye nia ya kweli na usimamizi wa mipango bora ya maendeleo.

kama wanashindwa kuweka jiji kuwa safi tu ambalo ni kitu kinachowezekana bila kusubiri msaada toka nje wataweza kufanya hayo. no body cares, kila kiongozi anajali familia yake na maslai yake.

mbagala pale watu wanafanya biashara barabarani na magari kupaki pembeni mwa barabara na kusababisha barabara inayoweza kupita magari mawili kupita mstari mmoja. wafanya biashara wanachafua barabara kwa mabaki ya vyakula na biashara wanazozifanya, viongozi husika wanapita njia hiyohiyo kila siku hakuna anayeona hilo ni tatizo na sisi wananchi tukiishia kupata adha mbalimbali. kwa vile hatuna mamlaka ya kuwawajibisha tunaishia kulalamika.kama hili linawashinda wataweza kubadili jiji la dar kuwa new york?

hivyo kubadili jiji la dar kuwa new york is not a joke kwa jinsi sisi tanzania tulivyo sasa we have alot to do before even thinking about that.

nadhani sasa utakuwa umeelewa kwa nini nilikwambia hii nistress.

hiyo icon yangu ilikuadaa na kufikiri mimi ni mpenzi wa vitu laini na vya burudani kama ulivyoviandika kuwa ndio vinaweza kuwa ninavyovipenda?
unajaji watu kwa urahisi sana eheee
 
Tuondoe CCM tuchague chama kipi?

solution ni wao wenyewe wajitambue kuwa hapa ni kwao na sio ughaibuni na pia kama watakuwa wazito rais ajaye anzee kuwa adabisha wabadhilifu wote kwa kipindi chake mpaka kieleweke tu
 
tujitahidi kwanza kuwafikia NAIROBI..halafu ndo tuanze kuota ndoto za mchana..

anafikiri kubadili jiji hili kuwa new york ni rahisi kama alivyokuwa anatype hizo sentensi zake.
 
Wambie tra wache unyonyaji kwa wafanyabiashara kwanza tushachoka na migomo kila siku
 
kwa akili zako mapenzi ndio hayatii stress, sasa wewe ndio una uvivu wa kufiri. hao akina wema na wavaa visuruali vya kubana ndio ukaona ni burudani kwa kila mtu?

ukiwa na upeo mkubwa wa kufikiri utaelewa kwa nini nilikwambia kuwa mada zingine za kutiana stress.

anza kwanza kushughulikia rushwa,kutowajibika kwa viongozi, upeo mdogo walionao wapiga kura wanaoishia kupewa pilau na kanga na elfu kumi wakaishia kuchagua watu kama mulugo, haya ni baadhi tu ya kuanza nayo tukipata majibu ya haya na tukayafanya tutarudi kwenye kulibadili jiji la dar kuwa new york, maana kutakuwa na viongozi wenye nia ya kweli na usimamizi wa mipango bora ya maendeleo.

kama wanashindwa kuweka jiji kuwa safi tu ambalo ni kitu kinachowezekana bila kusubiri msaada toka nje wataweza kufanya hayo. no body cares, kila kiongozi anajali familia yake na maslai yake.

mbagala pale watu wanafanya biashara barabarani na magari kupaki pembeni mwa barabara na kusababisha barabara inayoweza kupita magari mawili kupita mstari mmoja. wafanya biashara wanachafua barabara kwa mabaki ya vyakula na biashara wanazozifanya, viongozi husika wanapita njia hiyohiyo kila siku hakuna anayeona hilo ni tatizo na sisi wananchi tukiishia kupata adha mbalimbali. kwa vile hatuna mamlaka ya kuwawajibisha tunaishia kulalamika.kama hili linawashinda wataweza kubadili jiji la dar kuwa new york?

hivyo kubadili jiji la dar kuwa new york is not a joke kwa jinsi sisi tanzania tulivyo sasa we have alot to do before even thinking about that.

nadhani sasa utakuwa umeelewa kwa nini nilikwambia hii nistress.

hiyo icon yangu ilikuadaa na kufikiri mimi ni mpenzi wa vitu laini na vya burudani kama ulivyoviandika kuwa ndio vinaweza kuwa ninavyovipenda?
unajaji watu kwa urahisi sana eheee

Salute mkuu...niwie radhi kwa kudhani kua mapenzi na wavaa vijiskin jeans ndio wasingekupa strees,kumbe una mengi sana kichwani ya kujenga.sasa nimeelewa kwanini ulisema hii mada inatia stress coz hakuna pakuanzia au kama papo basi ni pagumu.
BTW..umetaja baadhi ya changamoto na majibu yake which was the prime issue of this topic.
Msory pal for thinking u -vely hope we r now good huh?
 
Salute mkuu...niwie radhi kwa kudhani kua mapenzi na wavaa vijiskin jeans ndio wasingekupa strees,kumbe una mengi sana kichwani ya kujenga.sasa nimeelewa kwanini ulisema hii mada inatia stress coz hakuna pakuanzia au kama papo basi ni pagumu.
BTW..umetaja baadhi ya changamoto na majibu yake which was the prime issue of this topic.
Msory pal for thinking u -vely hope we r now good huh?

usijali mkuu, ni kawaida tu. nashukuru kama umeelewa kwa nini nilisema vl.
tanzania kuna matatizo mengi sana wakati mwingine ukiyaangalia unaweza kuumwa ghafla ama kupata hasira na huku wengine wakakuona chizi. ila ndio hivyo tuna safari ndefu kufikia maendeleo. tutafika tu siku moja
 
usijali mkuu, ni kawaida tu. nashukuru kama umeelewa kwa nini nilisema vl.
tanzania kuna matatizo mengi sana wakati mwingine ukiyaangalia unaweza kuumwa ghafla ama kupata hasira na huku wengine wakakuona chizi. ila ndio hivyo tuna safari ndefu kufikia maendeleo. tutafika tu siku moja

Kweli kabisa we have alot to do......pa1 sana
 
Basically dalili ya Mvua Huwa ni mawingu!! Kwa namna tunavyokwenda kwa sasa Hakuna chochote Kinachoendelea!! Watu wanaedelea Kusquatter hakuna anayejali; SASA HUYU MLETA UZI NI MIUIZA GANI ANATEGEMEA? Watu wanagraduate mambo ya urban Planning sijui ni kazi gani wanafanya?
 
Basically dalili ya Mvua Huwa ni mawingu!! Kwa namna tunavyokwenda kwa sasa Hakuna chochote Kinachoendelea!! Watu wanaedelea Kusquatter hakuna anayejali; SASA HUYU MLETA UZI NI MIUIZA GANI ANATEGEMEA? Watu wanagraduate mambo ya urban Planning sijui ni kazi gani wanafanya?

Sijaelewa uliposema huyu mleta uzi ni miujiza gani anategemea!...
 
njia ya kufanya dsm iwe kama NYc ni moja tu serikali iache ubahili,iingie gharama ya kuufumua mji wote wa dsm ambao haujapimwa..,ni kufumua mji wote ferry mpaka mbezi,posta mpaka tegeta fumua sehemu zote zisizopimwa!
 
njia ya kufanya dsm iwe kama NYc ni moja tu serikali iache ubahili,iingie gharama ya kuufumua mji wote wa dsm ambao haujapimwa..,ni kufumua mji wote ferry mpaka mbezi,posta mpaka tegeta fumua sehemu zote zisizopimwa!

Serikali iache ubahili...point taken!
 
Back
Top Bottom