DAR kufanana na jiji la NEW YORK!

DAR kufanana na jiji la NEW YORK!

Mkalibari

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2012
Posts
659
Reaction score
400
Wadau hakuna kitu kinacho nikera kama jinsi ya mji wetu ulivyo pangiliwa,ukiangalia majengo,watu,wafanya biashara,mifumo ya maji taka ni kero mpaka basi!

Sasa kama kuna namna mtu anadhani Dar es salaam inaweza kubadilika na kupendeza mpaka kufikia majiji mengine kama NY n.k tupe mbinu ambazo zinatakiwa zitumike kulibadilisha jiji letu.

Hope yangu humu jf kuna viongozi waleo na kesho na kama wakiona ushauri na mapendekezo yako yanaweza saidia kuleta changes.

UPDATES:
Labda niweke sawa hii mada kwa kusema,wewe kama wewe unadhani ni hatua au jambo gani inayoweza kuchukuliwa na sisi watanzania kwa ujumla ili kunusuru na kuiokoa miji yetu kama DSM ipendeze na ikishindwa kua kama yale majiji makubwa eg.NY n.k basi iyakaribie kwa uzuri wake..
Toa maoni kulingana na uelewa wako,utashi wako au utaalamu wako ulio nao!

UPDATES:
Modes naomba muiangalie hii mada kwa jicho la tatu kama mnaweza kulink baadhi ya mawazo yakujenga yanayochangiwa hapa ndani na sehemu husika (hopefuly) mnazifahamu basi mtusaidie hilo.
Mtazamo wangu juu jf kua nisehemu au jukwaa la wasio na sauti kuweza kupaza sauti zao na zisikike pale zinapo kusudia kufika.
Guess you know what i mean modes!
Thanking in advance.

Dar pict. 1389188027708.jpg
NY city pict. 1389188179791.jpg
 
Mbinu Ni Kuchagua cha Kingine na C matapeli Kama CCM, Na akuna Chama Nisicho kipenda tangu Nazaliwa nakikuta madalakani na akuna jipya zaini ya kujiwezesha wao na koo zao wakituacha cc walala hoi tukipandishiwa bei ya umeme na gec
 
Africa is for Africans.....America is for Americans.....maybe it would take 100 yrs to come.
 
Mhabarishaji and pozzyfaza mnadhani ukibadilisha chama ghafla tu basi mji wetu utabadilika! au kuna kitu inabidi kifanyike licha ya kubadilisha chama?..
 
Utafiti na tutafika
Sijawasoma vizuri mliposema dar ni bora zaidi ya ny...any way ktk angle zipi hasa?
 
Haha nadhani hii itakuwa ndoto labda wakazi wengi wa dar wahamishwe na nyumba zao kuvunjwa kwaajili ya infrustructural restructuring programme/programu ya ujengaji miji upya ambayo inaweza kufadhiliwa na serikali au makampuni au watu binafsi wenye pesa zao kwa kujenga apartments maeneo mbali mbali na kuziuza kwa wananchi. Kama hili litafanyika by private companies au watu binafsi, serikali inaweza ikasimamia physical infrustructure kama barabara za kudumu na za kisas zikiwa na drainage system ya kupeleka maji yote baharini. Hapo tutaweza kuifanya dar kuwa miongoni mwa miji mizuri na ya kupendeza miongoni mwa majiji Africa.
 
Nchi inajengwa na watu, anza kubadilika kwanza wewe na wale wanaokuzunguka...
 
CCM itoke watawale wengine,
Tukiweza tokomeza rushwa,ufisadi labda tutaweza lakin kuifikia Marekani bado sanaa
 
Haha nadhani hii itakuwa ndoto labda wakazi wengi wa dar wahamishwe na nyumba zao kuvunjwa kwaajili ya infrustructural restructuring programme/programu ya ujengaji miji upya ambayo inaweza kufadhiliwa na serikali au makampuni au watu binafsi wenye pesa zao kwa kujenga apartments maeneo mbali mbali na kuziuza kwa wananchi. Kama hili litafanyika by private companies au watu binafsi, serikali inaweza ikasimamia physical infrustructure kama barabara za kudumu na za kisas zikiwa na drainage system ya kupeleka maji yote baharini. Hapo tutaweza kuifanya dar kuwa miongoni mwa miji mizuri na ya kupendeza miongoni mwa majiji Africa.

Hii ni njia mojawapo pia...safi!
 
Kwenye nchi kama hii, ni zaidi ya ndoto kufikiri. Nchi yetu hii, si ya kufikiri kwa jiji/mkoa mmoja mmoja bali maendeleo ya kiafrika.

Mf.Jaribu kuuliza/kupeleleza ni zaidi ya miaka mingapi, Jiji la New York lilikosa umeme! Ni takribani karne moja na zaidi, na kisha uje katika Nchi yetu(Si Dar es Salaam)..mara ya mwisho kuwa na umeme wa uhakika ni lini.

Ukipata jibu, angalia ndoto hizi, mkuu.
 
Back
Top Bottom