DAR kufanana na jiji la NEW YORK!

DAR kufanana na jiji la NEW YORK!

Kwenye nchi kama hii, ni zaidi ya ndoto kufikiri. Nchi yetu hii, si ya kufikiri kwa jiji/mkoa mmoja mmoja bali maendeleo ya kiafrika.

Mf.Jaribu kuuliza/kupeleleza ni zaidi ya miaka mingapi, Jiji la New York lilikosa umeme! Ni takribani karne moja na zaidi, na kisha uje katika Nchi yetu(Si Dar es Salaam)..mara ya mwisho kuwa na umeme wa uhakika ni lini.

Ukipata jibu, angalia ndoto hizi, mkuu.

Sasa mkuu..ndio najua ntapata jibu kua NY haikuwai kukosa umeme kwa kipindi kerefu kama ambavyo imekua ikitokea ktk nchi zetu.sasa issue nikua tufanyeje baada ya kupata majibu kama hayo?
 
Mbinu ni moja tu! Kuiondoa CCM madarakani! CCM imefika mwisho wa reli, haiwezi kuwa na jipya tena!

We kilaza kweli yaani hapo ndo mwisho wako wa kufikiri!!!????

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
mi sijui kama nyumba yangu tu haijapangiliwa vizuri huo mji je?
 
Hahahahahahaaaa!
Kwaiyo mukulu unamaanisha ile mijengo ya jiji pale ivunjwe au?
...
Mkuu ni mtaji tu ndio tatizo kuhusu ramani na michoro hata mimi naweza!!!
...
The issue is: Tz kila anaepata lungu analitumia vibaya, huo mtaji utapatikana kweli?
 
People think, new york, london, tokyo au paris ilikuwa kama hivi ilivyo some 100 years back.

ilikuwa michafu na out of plan more than Dar ilivyo leo....

its evolution.. jinsi ambavyo matatizo yanaongezeka Dar (foleni, uchafu, barabara mbovu, mipango miji mibovu n.k) ndio jinsi ambavyo utatuzi wake unatafutwa.. tusifikiri yatakuwa hapo milele.

hauwezi kujua thamani ya barabara nzuri kama hujapata adha ya barabara mbovu.

hivyo tusifikiri new york maghorofa yake, barabara zake na njia za ardhini zilijengwa siku moja.. waliteseka ndipo wakaamua kutatua matatizo yao

Tumaini bado lipo muda bado upo... Dar inaweza kuwa zaidi ya New York....
 
Mimi nionavo kama new York imebadilishwa mpk kuwa hivo ilivo na mbongo basi na bongo inaweza ikabadilika.

lkn kama New York imetengenezwa na mzungu na bongo inahitaji mzungu huyo aletwe awe meya kwa kipindi kifupi tuu utaona mabadiliko.

Dar haijajengwa kabisa wala hapahitaji kuvunjwa chochote.

Huo wingi wa wazururaji utapungua,wamachinga wataondoka na mwisho wa siku utaifananisha kweli name New York.
 
Kwa utawala wa CCM sahau hiyo kitu..

Umeme tu unatushida wakati tuna gas,Maji,upepo,makaa ya mawe..nk..

Mkuu safari ni ndefu sana..more than 100 years..Ya kuchapa kazi.
 
Kwa utawala wa CCM sahau hiyo kitu..

Umeme tu unatushida wakati tuna gas,Maji,upepo,makaa ya mawe..nk..

umesahau kuwa hata new york kulikuwa na matatizo ya umeme?? Matatizo hayo ndio yaliyofanya wakajitahidi kuwa na mfumo bora wa ugavi wa umeme....

Matatizo ndiyo ambayo yanaleta maendeleo... maendeleo ni kutatua matatizo.
 
Kwa utawala wa CCM sahau hiyo kitu..

Umeme tu unatushida wakati tuna gas,Maji,upepo,makaa ya mawe..

umesahau kuwa hata new york kulikuwa na matatizo ya umeme?? Matatizo hayo ndio yaliyofanya wakajitahidi kuwa na mfumo bora wa ugavi wa umeme....

Matatizo ndiyo ambayo yanaleta maendeleo... maendeleo ni kutatua matatizo.
 
HAPA New York katu hakuto kuwa kama Jiji letu la Bongo hata miaka mia ijayo


DAR NI JIJI SALAMA KULIKO SALAMA MWENYEWE

NEW YORK NI KELELE VING OLA KILA DAKIKA
 
umesahau kuwa hata new york kulikuwa na matatizo ya umeme?? Matatizo hayo ndio yaliyofanya wakajitahidi kuwa na mfumo bora wa ugavi wa umeme....

Matatizo ndiyo ambayo yanaleta maendeleo... maendeleo ni kutatua matatizo.

Kwa hizi siasa zetu za maji taka na wachumia tumbo thubutuu tusubiri tu mpaka yesu atakaporudi kuja kunyakuwa walio wake tu basi.
 
Kwa hizi siasa zetu za maji taka na wachumia tumbo thubutuu tusubiri tu mpaka yesu atakaporudi kuja kunyakuwa walio wake tu basi.

Duh watu mmekata tamaa sana!..kwanini lakini?
 
Weka miaka mia mbili mbeleni kama utakuwepo inaweza fikia ivo tena itafika tu kwani vizazi vijavyo huwezi jua vitakavyo nyenyuka nakuwa tofauti na vya sasa kwani we hujui kila kitu huenda atua kwa atua so itafika tu hakuna cha gafla kwenye mipango lazima ianze kidogo kidogo mwishowe ki kuwe.
 
Ndio utoe ushauri kwangu ili nijue nikibadilika nibadilike ktk nyanja gani au nibadilike kwa kufanya nini?

Fuata kanuni bora za ujenzi, tunza mazingira, shiriki shughuli za maendeleo za mtaani kwenu, acha kula na kupokea rushwa, na mengine mengi
 
Back
Top Bottom