Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,963
HahahahhahaahaUna maanisha Pasikalia au nani?
HahahahhahaahaUna maanisha Pasikalia au nani?
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam, Simon Sirro amewataka uongozi wa Clouds Media Group kushirikiana na jeshi la polisi katika upelelezi wa tukio la uvamizi wa kituo chao cha matangazo.
Akiongea na waandishi wa habari leo Sirro amesema kesi yoyote inahitaji ushahidi na uvamizi wa Clouds bado upelelezi wake unaendelea ukikamilika utapelekwa kwa wakili wa Serikali ili aone kama anaipeleka kesi hiyo mahakamani au kutoipeleka.
"Ndugu zetu wa Clouds watoe ushirikiano kwa mpelelezi wa kesi yao, wao wanataarifa za kutusaidia kukamilika kwa upelelezi ila nasi tuweze kuipeleka katika hatua inayofuata. Na sio kwamba tukio limesahaurika bali upelezi wake unaendelea," amesema Sirro.
Chanzo: mwananchi
hakuna ushahidi wa uvamizi ndio maana clouds wanajiumauma mdomo. tukio zima ni la kupanga. inaelekea rc mskonda alikua mtu wao ila kwa sababu wanayoijua wenyewe wakala njama kumsaliti siku ya tukio.Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam, Simon Sirro amewataka uongozi wa Clouds Media Group kushirikiana na jeshi la polisi katika upelelezi wa tukio la uvamizi wa kituo chao cha matangazo.
Akiongea na waandishi wa habari leo Sirro amesema kesi yoyote inahitaji ushahidi na uvamizi wa Clouds bado upelelezi wake unaendelea ukikamilika utapelekwa kwa wakili wa Serikali ili aone kama anaipeleka kesi hiyo mahakamani au kutoipeleka.
"Ndugu zetu wa Clouds watoe ushirikiano kwa mpelelezi wa kesi yao, wao wanataarifa za kutusaidia kukamilika kwa upelelezi ila nasi tuweze kuipeleka katika hatua inayofuata. Na sio kwamba tukio limesahaurika bali upelezi wake unaendelea," amesema Sirro.
Chanzo: mwananchi
Hajatoa vyeti halafu kuna mambuzi wanataka kumsafisha kwa nguvu za damu zao kila anachoulizwa hana jibu anazungumzia vita ya madawa ya kulevya hata hao walomuita waneaibika maana hata hajajibu maswali walivyotarajia zaidi alikuwa anatumia mamlaka kutaka kujipromoteHivi jamani haya mambo ya Bashite si yalishaisha? naona yanarudi kwa kasi...kulikoni tena?
Nyie watu akili zenu zinasoma juu chini. Kesi ni ushahidi, malalamkijai anamnyima ushirikiano mpelelezi, ili mpelelezi apate facts/ushahidi wa kupeleka kesi kwa mwanasheria wa serikali hatimaye kesi ianze dhidi ya huyo anayedaiwa kuvamia. Sasa mnataka Sirro afanye nini?Siro, Mungu anakuona, kweli anakuona! Una ubavu wa kuipeleke kesi inayomhusu Makonda Kortini? Mungu anakuona.
Umelisoma jalada la upelelezi?Clouds watoe ushirikiano gani kwenye upelelezi wakati mtuhumiwa hata kumu hoji wanaogopa
Anajikosha. Wanatafuta namna ya kulizima ili lisiendelee kusemwa kwenye media.Mtu mwingine ambae hayupo nyuma kwenye suala la kujidhalilisha kwa jamii ni huyu RPC wa Dsm.