Sandinistas
JF-Expert Member
- Jul 5, 2013
- 2,616
- 1,778
Sirro is looking for a grand excuse; nini maana ya hii kauli? Kwamba Clouds hawampi ushirikiano ndiyo maana mpaka sasa hajachukua hatua? Uvamizi wa Clouds media si ndiyo classic example ya zile kesi Rais aliyopata kuzungumzia kwa kusema hazihitaji hata upelelezi kwani mtu kakamatwa 'red-handed'? Sasa Sirro anaongea as if mpaka sasa hajachukua hatua kwa sababu hajapata ushahidi! Ni bora tu angenyamaza kuliko kutukebehi. Tunajua hawezi kuchukua hatua yoyote bila idhini ya wanasiasa. Si hata yeye mwenyewe amejidhalilisha kwa kutelekeza weledi wake kwenye maigizo ya vita vya dawa za kulevya? Watanzania wote siyo kondoo na mwenye macho huwa haambiwi tazama. Thir is a regime of double standards, period.