Huyu anajivunjia heshima bure kwa jamii, upelelezi mwaka mzima? asitufanye wajinga.
Hivi hao Clouds tangu wamevamiwa kwanini hawaendi kushtaki polisi na kutoa ushirikiano kwenye UPELELEZI ??Huku uraiani huwa wanalazimisha kutafuta ushahidi na wanaupata ila kwa hao jamaa wanaombwa kupitia kwenye vyombo vya habari pasipo kufika directly kama mamlaka inayohusika na upepelezi wa kesi
Wewe na dingi yakoKwani ni uongo sio wajinga??
Hivi hao Clouds tangu wamevamiwa kwanini hawaendi kushtaki polisi na kutoa ushirikiano kwenye UPELELEZI ??
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam, Simon Sirro amewataka uongozi wa Clouds Media Group kushirikiana na jeshi la polisi katika upelelezi wa tukio la uvamizi wa kituo chao cha matangazo.
Akiongea na waandishi wa habari leo Sirro amesema kesi yoyote inahitaji ushahidi na uvamizi wa Clouds bado upelelezi wake unaendelea ukikamilika utapelekwa kwa wakili wa Serikali ili aone kama anaipeleka kesi hiyo mahakamani au kutoipeleka.
"Ndugu zetu wa Clouds watoe ushirikiano kwa mpelelezi wa kesi yao, wao wanataarifa za kutusaidia kukamilika kwa upelelezi ila nasi tuweze kuipeleka katika hatua inayofuata. Na sio kwamba tukio limesahaurika bali upelezi wake unaendelea," amesema Sirro.
Chanzo: mwananchi
Kila mtu na nyota yake, Lisu upelelezi wake upo tayari robo tatu automatcally, akitenda kosa ni kukamilisha tu robo iliyobaki.Ingekuwa Lissu amevamia siku hiyo hiyo angeshafikisha mahakamani.
.....hapo chacha..Huku uraiani huwa wanalazimisha kutafuta ushahidi na wanaupata ila kwa hao jamaa wanaombwa kupitia kwenye vyombo vya habari pasipo kufika directly kama mamlaka inayohusika na upepelezi wa kesi
Yaliishaje, alitoa vyeti? alipelekwa mahakamani kwa kuivamia clouds.Hivi jamani haya mambo ya Bashite si yalishaisha? naona yanarudi kwa kasi...kulikoni tena?
Mpaka anasema upelelezi unaendeleaje maana yake kumbe tayari clouds walisharipoti!Hivi hao Clouds tangu wamevamiwa kwanini hawaendi kushtaki polisi na kutoa ushirikiano kwenye UPELELEZI ??
Siro, Mungu anakuona, kweli anakuona! Una ubavu wa kuipeleke kesi inayomhusu Makonda Kortini? Mungu anakuona.
Siro kama mke wa Mzee Malecela alifukuzwa kazi kwa kosa ambalo aliletewa na watendaji, Kitwanga hakupimwa ulevi akamfukuza, huyu akavamia clouds akaambiwa chapa kazi, kweli una haja ya kumsumbuka na upelelezi?Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam, Simon Sirro amewataka uongozi wa Clouds Media Group kushirikiana na jeshi la polisi katika upelelezi wa tukio la uvamizi wa kituo chao cha matangazo.
Akiongea na waandishi wa habari leo Sirro amesema kesi yoyote inahitaji ushahidi na uvamizi wa Clouds bado upelelezi wake unaendelea ukikamilika utapelekwa kwa wakili wa Serikali ili aone kama anaipeleka kesi hiyo mahakamani au kutoipeleka.
"Ndugu zetu wa Clouds watoe ushirikiano kwa mpelelezi wa kesi yao, wao wanataarifa za kutusaidia kukamilika kwa upelelezi ila nasi tuweze kuipeleka katika hatua inayofuata. Na sio kwamba tukio limesahaurika bali upelezi wake unaendelea," amesema Sirro.
Chanzo: mwananchi
sijibizani na lumumba! Huo ndio msimamo thabiti!Mungu kimbilio la Masikini na waliokata tamaa!