KERO Dar inazidi kuwa na mazingira yasio na mpangilio. Viongozi wana hofu au wanaogopa Wananchi baada ya Uchaguzi wa 2025?

KERO Dar inazidi kuwa na mazingira yasio na mpangilio. Viongozi wana hofu au wanaogopa Wananchi baada ya Uchaguzi wa 2025?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Tunatambua tangu matukio yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi 2025 yamesababisha usimamizi wa usafi na mazingira kuzorota, hofu ikiwa kwa Wanasiasa kuogopa lawama za Wananchi.

Hii imesababisha mji kuwa mchafu sana, tunajenga barabara nzuri lakini mabanda kila mahali, ukienda Mbezi Mwisho sasa hivi hapafai, ni aibu ukizingatia ndio lango la kuingilia wageni kwa njia ya basi.

Wauza mafenenesi nao kila mahali, nimeona Posta hadi Kijazi Interchange chini wamejaa, hivi hawa viongozi hawaendi miji ya wenzetu kama Nairobi au hata Rwanda wakajionee usafi wa mazingira.

Hii ni aibu kwa taifa kufanya usafi wa mazingira kisiasa Dar ni chafu, Chalamila kazi ya kupanga wafanyabiashara imemshinda.
 
Tunatambua tangu matukio yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi 2025 yamesababisha usimamizi wa usafi na mazingira kuzorota, hofu ikiwa kwa Wanasiasa kuogopa lawama za Wananchi.

Hii imesababisha mji kuwa mchafu sana, tunajenga barabara nzuri lakini mabanda kila mahali, ukienda Mbezi Mwisho sasa hivi hapafai, ni aibu ukizingatia ndio lango la kuingilia wageni kwa njia ya basi.

Wauza mafenenesi nao kila mahali, nimeona Posta hadi Kijazi Interchange chini wamejaa, hivi hawa viongozi hawaendi miji ya wenzetu kama Nairobi au hata Rwanda wakajionee usafi wa mazingira.

Hii ni aibu kwa taifa kufanya usafi wa mazingira kisiasa Dar ni chafu, Chalamila kazi ya kupanga wafanyabiashara imemshinda.
Hii ni aibu kwa taifa kufanya usafi wa mazingira kisiasa Dar ni chafu, Chalamila kazi ya kupanga wafanyabiashara imemshinda
 
Tatizo ni
Wanasiasa wa pande zote, Halmashauri wakisema wawaondoe, chadema watasema wanawaonea na wanaccm nao watasema wanaonewa

Binafsi ningekuwa kiongozi hakuna mtu angefanya biashara maeneo yote ya barabara
 
Ni changamoto kwa kweli ingia masokoni hakuna hata pakupita!
ajabu vizimba vipo wazi ila biadhaa zimepangwa njiani!
 
Siyo Dar. Jiji gani la Tanzania ni safi na lenye mpangilio?
 
Tunatambua tangu matukio yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi 2025 yamesababisha usimamizi wa usafi na mazingira kuzorota, hofu ikiwa kwa Wanasiasa kuogopa lawama za Wananchi.

Hii imesababisha mji kuwa mchafu sana, tunajenga barabara nzuri lakini mabanda kila mahali, ukienda Mbezi Mwisho sasa hivi hapafai, ni aibu ukizingatia ndio lango la kuingilia wageni kwa njia ya basi.

Wauza mafenenesi nao kila mahali, nimeona Posta hadi Kijazi Interchange chini wamejaa, hivi hawa viongozi hawaendi miji ya wenzetu kama Nairobi au hata Rwanda wakajionee usafi wa mazingira.

Hii ni aibu kwa taifa kufanya usafi wa mazingira kisiasa Dar ni chafu, Chalamila kazi ya kupanga wafanyabiashara imemshinda.
Viongozi matamko na uchawa, hakuna viongozi hapo ni kikundi cha wapigaji wachache waliochangamka yaani kimsing wanakula tu bila kuona haya , wananchi kwao sio kitu sio shida zao kabisaaaa, kuna watu wanafumua majumba like its the end of the world vijamaaa vinanuka rushwa ,kiburi, majigambo yaani mmepatwa kwakweli. Mungu awasaidie sana.
 
Tatizo ni
Wanasiasa wa pande zote, Halmashauri wakisema wawaondoe, chadema watasema wanawaonea na wanaccm nao watasema wanaonewa

Binafsi ningekuwa kiongozi hakuna mtu angefanya biashara maeneo yote ya barabara
Uko sahihi mkuu.
 
Back
Top Bottom