Haaahaaa!! Saa Moja tu giza tororo. Yaani mikoani unakuta Binadamu na Kuku muda wao wa kuingia ndani ni MmojaMimi mwenyewe nipo Singida lakini kila nikipata pesa naenda kutumia Dar zikiisha narudi zangu kuja kula ugali na ndalu Dar ukiwa na pesa raha sana huku mkoani ni mwendo wa kupauka tu saa moja usiku giza tororo kama tupo kwenye mahandaki