Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,105
- 13,331
Nyara za serikali hizoHee kumbe hairuhusiwi kupiga picha eneo hilo hivi ni kwanini????
Nyara za serikali hizoHee kumbe hairuhusiwi kupiga picha eneo hilo hivi ni kwanini????
Hebu twenzetu PM kwanza tukapeane namba za Simu... hawachelewi kututenganisha tena hawa mabandidu wa jiweHahahaha siku yangu leo itaenda vizuri
mwenyekiti wenu kwa kufanya maisha yawe magumuChanzo nini
Mkuu hilo jeshi la zimamoto halina vifaa vya kisasa kabisa, magari yote yale ya zimamoto ni tia maji tia maji tena niya msaada toka nchi za ujerumani na Japan
Jamaa karipia tozo ya kuvuka gari iliyoungua
Nadhani wengi wao watakuwa ni watoto wamezaliwa na kukulia Maghorofani kwa hiyo maisha halisi hawayajui.
Waliniuliza kuhusu, mwaka wa gari kutengenezwa nikawaambia 2004 wakasema nikate third part...
Wacha ujinga wewemwenyekiti wenu kwa kufanya maisha yawe magumu