mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,721
- 11,925
Dar es salaam Vijana wengi ni Maskini ila wanamiliki iPhone na wanajua kunyoa na kuvaa vizuri and that's what give them confidence..
If you visit here hangaika na kilichokuleta.
Ukishaanza kupunguza tamaa za fashions unakuwa umekuwa sehemu moja muhimu sana.
Tufanye kazi hawa viongozi wanatafutia watoto wao mahali salama…..Mfano mtoto wa Makamba,Kikwete,Nchemba,n.k
If you visit here hangaika na kilichokuleta.
Ukishaanza kupunguza tamaa za fashions unakuwa umekuwa sehemu moja muhimu sana.
Tufanye kazi hawa viongozi wanatafutia watoto wao mahali salama…..Mfano mtoto wa Makamba,Kikwete,Nchemba,n.k