KAYAFA MKUU
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 242
- 297
Kweli kabisa,zinapatikana maeneo gani hizi? Pharmacy au hardware?View attachment 1446806
Hizi ndo ziko salama,miwani bado SI salama sana
Kweli kabisa,zinapatikana maeneo gani hizi? Pharmacy au hardware?View attachment 1446806
Hizi ndo ziko salama,miwani bado SI salama sana
Ila nasikia zina bei kidogo, nimeona wengine wanakata zile lamination plastic za kulaminate vyeti na ID, kisha wanafunga ribbon na kuvaa kama miwani, ni idea nzuri pia.Kweli kabisa,zinapatikana maeneo gani hizi? Pharmacy au hardware?
Ok,huu ni mbadala mzuri,nitaufanyia kazi MkuuIla nasikia zina bei kidogo, nimeona wengine wanakata zile lamination plastic za kulaminate vyeti na ID, kisha wanafunga ribbon na kuvaa kama miwani, ni idea nzuri pia.
Tuvae element tuu, hizo glass shield zipo chacheView attachment 1446806
Hizi ndo ziko salama,miwani bado SI salama sana
Helmet za pikipiki ndio zinafaa ila bei iko juu na ni mazito na very uncomfortable kuvaa
Dah! Hapo ndipo Helment zitakapopanda bei,tutakuwa tukionekana kama maroboti na Helment zetu mitaani. Ugonjwa huu mpaka uishe tatayashuhudia mengi.Helmet za pikipiki ndio zinafaa ila bei iko juu na ni mazito na very uncomfortable kuvaa
Ila mimi nitakata tu laminating plastic na kuchonga miwani yangu, ili tamko likitolewa wiki ijayo niwe ninayo ya kwangu kabisaDah! Hapo ndipo Helment zitakapopanda bei,tutakuwa tukionekana kama maroboti na Helment zetu mitaani. Ugonjwa huu mpaka uishe tatayashuhudia mengi.
Chukua chupa ya plastic kama sikosei ile ya 10ltrs kama wewe ni mbunifu kidogo tu utapata helmet saafi kabisa very light and cheapest.Ila mimi nitakata tu laminating plastic na kuchonga miwani yangu, ili tamko likitolewa wiki ijayo niwe ninayo ya kwangu kabisa
Ahaaaaaa, kweli aisee..!!!Chukua chupa ya plastic kama sikosei ile ya 10ltrs kama wewe ni mbunifu kidogo tu utapata helmet saafi kabisa very light and cheapest.
MamboMakonda alikusikia...Unatoa wiki moja...
Lol am i the only one spotting an exxagerated sense of self importance here.?
Exactly, hiyo ndio miwani ninayoizungumzia haswa!!!!!!!!!Nakuelewa sana mzee FRANCIS DA DON hii inaweza kuwa suluhu nzuri kuliko barakoa peke yake, tena barakoa zenyewe watu hata awaziheshimu unakuta mtangazaji wa tv, polisi, muuza mitumba amevaa barakoa nusu mlingoti, inasikitisha sana.
View attachment 1447380
Sawa Mkuu! Ukifanikiwa kufanya hivyo unirushe picha ya miwani yako ili nami nipate ujuzi kidogo, nijitengenezee mwenyewe pia.Ila mimi nitakata tu laminating plastic na kuchonga miwani yangu, ili tamko likitolewa wiki ijayo niwe ninayo ya kwangu kabisa
Lkn mkuu alisema hatuwezi kuishi kwa kutegemea mavitambaa mapuani.Na ndio maana umeanzishwa utaratibu wa kuwachapa viboko hasa wale wanaopanda daladala bila barakoa, na utaratibu huu wa kuchapana viboko umesaidia sana
Tuvae na gloves piaKuna baadhi ya watu naona wameanza kuvaa vitu kama helmet za pikipiki au zile za wachomea mageti, ni idea nzuri pia
Hatua kwa hatua tutaushinda huu ugonjwa