Hujui nayy mbuyu wake Nani...Huyu ajitathmini upya, angetazama mfano kwa Manji na akina Singa singa plus Rugemarila
Sio suala la mbuyu, ukishakua celebrity unatakiwa kua makini, ile mihemko yake imemharibia CV kwakua hataweza kukanaHujui nayy mbuyu wake Nani...
Kila mtu na mbuyu wakeee
True ni kuwa makini sana,kwa wenzetu kile kitendo kinaweza mharibia hata kibiashara,au wapinzani kibiashara wakakitumia kibiasharaSio suala la mbuyu, ukishakua celebrity unatakiwa kua makini, ile mihemko yake imemharibia CV kwakua hataweza kukana
May be alikuwa anajitetea nayy,Sio suala la mbuyu, ukishakua celebrity unatakiwa kua makini, ile mihemko yake imemharibia CV kwakua hataweza kukana
niambie waisrael wana kipi special ?!Kwanini unawahusisha wasukuma wote kwenye huo mkumbo?
na pia hao wachaga wana kipi hasa kulinganisha na watanzania wengine kiasi cha wao pekee tu kuonewa wivu?
niambie wachaga wana kipi special?
Jibu swali kama nilivyouliza na sio kuleta mfanano wa kitoto hapa ambao haupo na hautokuwepo kamwe.niambie waisrael wana kipi special ?!
Hata mimi ukija eneo langu la kazi kiboya boya kwa mwamvuli wa askari naweza nikakulima sululu la kichwa maana sitaweza kukutofautisha na jambazi au tapeli,kwanza utambulisho ndio muhimu na sio ubabe,watu wana "MANATI ZA MZUNGU" ukileta ubabe watu wanafumua UBONGO.Huyu ajitathmini upya, angetazama mfano kwa Manji na akina Singa singa plus Rugemarila
Kwa maelezo haya lzm mkae vzr mezaniHao Askari walitaka kula rushwa tu ndio maana jamaa alikuwa mkali,ukienda sehemu kama hizo jitambulishe vizuri......:"Habari Ndugu Mosha,Kwa majina naitwa Inspector Deck na Mwenzangu niliyekuja naye anaitwa Sajenti Nyoni tunatokea Wizara ya mambo ya ndani kitengo cha uhamiaji,Tumepata taarifa kwenye Apartment yako kuna ABCs tunataka kufanya inspections,vitambulisho vyetu hivi hapa na kama unataka more info unaweza ukapigia wakuu wangu wa kazi kwa namba ambazo zipo kila sehemu".
Ndio inapaswa wafanye hivyo,jeshi linafundisha kuwa na nidhamu ila kuna baadhi wanadharau sana "Raia" wanawachukulia kama "Maboya" kisa wao ni askari,yeye ni askari lakini na Mosha naye ile Sehemu waliokuja ni yake kwahiyo ukimfata lazima uje na nidhamu.Kwa maelezo haya lzm mkae vzr mezani
Hadi wameingia ndani tafsiri yake wameruhusiwa kwa kujitambulisha kwa walinzi.Ndio inapaswa wafanye hivyo,jeshi linafundisha kuwa na nidhamu ila kuna baadhi wanadharau sana "Raia" wanawachukulia kama "Maboya" kisa wao ni askari,yeye ni askari lakini na Mosha naye ile Sehemu waliokuja ni yake kwahiyo ukimfata lazima uje na nidhamu.
hata kwa jeshi la uhamiaji nao wamedhalilika sana, kazi zao zitakuwa ngumu pia, watu watakuwa hawatoi ushirikiano, kwanza ni askari yupi hapaswi kuwa na uniform anapokuwa kazini? sio kila mtu wakufungulia geti wengine ni majambazi, haya mumemkamata na huko mahabusu hajakaa, sio kila mtaa unaweza peleka makanyagio, haya ya malima yako wapi? unaendesha kesi mtu anateulikwa kuwa RC kijijini kwenu.True ni kuwa makini sana,kwa wenzetu kile kitendo kinaweza mharibia hata kibiashara,au wapinzani kibiashara wakakitumia kibiashara
hawa jamaa sijui hawajifunzagi? alikuwepo heche suguta alikuwa anavunja nyumba za watu kwa jina la NEMC yuko wapi siku hizi?Hata mimi ukija eneo langu la kazi kiboya boya kwa mwamvuli wa askari naweza nikakulima sululu la kichwa maana sitaweza kukutofautisha na jambazi au tapeli,kwanza utambulisho ndio muhimu na sio ubabe,watu wana "MANATI ZA MZUNGU" ukileta ubabe watu wanafumua UBONGO.
Wakienda kwenye kazi za ukaguzi,na ufatiliaji huwa hawafai uniform zaidi ya kitambulisho , wavao ni wale wa kaunta au boda,hata kwa jeshi la uhamiaji nao wamedhalilika sana, kazi zao zitakuwa ngumu pia, watu watakuwa hawatoi ushirikiano, kwanza ni askari yupi hapaswi kuwa na uniform anapokuwa kazini? sio kila mtu wakufungulia geti wengine ni majambazi, haya mumemkamata na huko mahabusu hajakaa, sio kila mtaa unaweza peleka makanyagio, haya ya malima yako wapi? unaendesha kesi mtu anateulikwa kuwa RC kijijini kwenu.
Hakuna aliye mchukia tajiri maana hata ukimchukia hauwezi kuuupata huo utajiri wakeNi hurka ya maskini hiyo kuwachukua matajiri