mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,817
- 105,997
Kumbe na wewe le bilionea teh tehMkuu natafuta landrover discovery 2 td5 ya mwingereza achana na hizi za south unaweza ukawa una connection na wadau
Ova
Kumbe na wewe le bilionea teh tehMkuu natafuta landrover discovery 2 td5 ya mwingereza achana na hizi za south unaweza ukawa una connection na wadau
Hamna mrangi,gari zenyewe mbona old model ukiagiza UK haizidi 30 mil/= Bilionea ni gwajima ana hummer tatuKumbe na wewe le bilionea teh teh
Ova
Nipe na mimi dili Hilo ningie kwenye machimbo yngu nkuchekei ila I we imenyooka tuHamna mrangi,gari zenyewe mbona old model ukiagiza UK haizidi 30 mil/= Bilionea ni gwajima ana hummer tatu
Hao mabilionea Wana viwanda vya sadakaHamna mrangi,gari zenyewe mbona old model ukiagiza UK haizidi 30 mil/= Bilionea ni gwajima ana hummer tatu
Fresh mwanang nitaftie used kama ipo katika halo nzuri itakuwa fresh. ili nipunguze gharamaNipe na mimi dili Hilo ningie kwenye machimbo yngu nkuchekei ila I we imenyooka tu
Ova
Njoo pm tupeane contactsFresh mwanang nitaftie used kama ipo katika halo nzuri itakuwa fresh. ili nipunguze gharama
Mia miaNjoo pm tupeane contacts
Ova
Umenikumbusha katika historia kulikuwa na Mhehe mmoja kwa jina la Mwamwindi yeye alimtwanga mkuu wa mkoa risasi hivihiviHii Story inafanana na ile ya Mmiliki wa Ma Bus ya Zakaria,
Nae hivi hivi walienda jamaa wanaodaiwa kua Usalama, ghafla wakapishana kiswahili na kuanza kukunjana hiv hivi na ilikua nje ya Ofisi ya Zakaria hiv hivi. Labda tofauti tu ni kua Davis Mosha hakuchomoa na "Mguu wa Kuku"
yAAP MOSHI HELA IPOJamani, hivi huko Moshi kila mtu ni bilionea?
yAAP MOSHI HELA IPOJamani, hivi huko Moshi kila mtu ni bilionea?
Hahahahaha ndio "Matajiri" wetu hao...Hivi unafikiri ni mtu wa maana sana? Basi tu ni mjanja fulani wa kijiweni amepiga zali akapata fedha. Wewe hata ukiamwangalia anafanana na matajiri wa ukweli?
Hahahahaha ndio "Matajiri" wetu haoHivi unafikiri ni mtu wa maana sana? Basi tu ni mjanja fulani wa kijiweni amepiga zali akapata fedha. Wewe hata ukiamwangalia anafanana na matajiri wa ukweli?
nadhani ndo hivo ilivyoJamani, hivi huko Moshi kila mtu ni bilionea?
Kwanini unawahusisha wasukuma wote kwenye huo mkumbo?Wivu wivu ndio maana tokea uhuru awamu hii hakuna hata naibu Waziri mchaga
ubilionea wa bongo huwa unachekesha sana... south afrika penyewe kuna mabilionea saba tu pamoja na kwamba USD1= R14, ila huwezi ukakuta wanajipigia kabobo za ubilionea kwa kiwango cha pesa ya nyumbani, sasa bongo mtu akishakuwa na $450k eti anajiita bilionea na wakati kuna watu huo ni mshaara wa wiki.sindio hizo tunazotumia bongo...
maana ukisema bilionea in terms of USD huwa hadi tutajiwe na forbes na wenyewe huwa wanasema TZ wapo wawili tu Mooooo na Uhai