Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Mkuu ukorofi unategemeana ukiwa hoe hae utaanzaje kumtukana mtoto wa bakhresa?..mfano tu!Umenikumbusha kipindi yuko Yanga km M/mwenyekiti ,kulikua na mechi Tanga uwanja wa mkwawani Azam fc na Yanga sc ,azam walikua wanautumia huo uwanja ,akakorofishana na jamaa anaitwa Said Tully akamchapa Kofi ,ugomvi uliamuliwa na Yusuph Bakharesa
Kifupi Mosha ,mkorofi korofi