Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Ajali hii imetokea asubuhi hii, basi hilo likionekana kutumbukia kwenye mtaro likiwa na wanafunzi kama 10 hivi. Kwa kuwaangilia watoto hawaonekani kuwa wameumia sana, zaidi ya michubuko na hofu kwa kilichotokea. Basi jingine kubwa la shue hiyolilipita eneo hilo na kuwachukua watoto hao.
Habari zaidizitakujia kadri zitakavyopatikana.
Habari zaidizitakujia kadri zitakavyopatikana.