uyo bange inamdanganyaMfanyabiashara Hamis Said anayekabiliwa na kesi ya kumuua Mkewe Naomi Marijani kisha kumchoma moto ametoa vitisho ktk Mahakama ya Kisutu akidai atawafanyia kitu kibaya Wanahabari "Wamekuwa wakinipiga picha kuanzia chini hadi ndani ya Mahakama, sasa nitakuja kuishangaza Mahakama"
Cha kupoteza ni uhuru aliokuwa nao.....sahivi hawezi hata kwenda kuulizia bei ya gunia la mkaa..Jela isikie tu...hata wahenga wanasema ugali ni mtamu ila sio wa jela....Hana cha kupoteza. Kuna siku atawavulia nguo zote. Bado mtampiga picha?
Kashavurugwa huyo ameshammiss shetani huko jehanam mahakama ifanye faster imruhusu akamsalimie shetan mwenzake huko jehanamMfanyabiashara Hamis Said anayekabiliwa na kesi ya kumuua Mkewe Naomi Marijani kisha kumchoma moto ametoa vitisho ktk Mahakama ya Kisutu akidai atawafanyia kitu kibaya Wanahabari "Wamekuwa wakinipiga picha kuanzia chini hadi ndani ya Mahakama, sasa nitakuja kuishangaza Mahakama"
Hata Mimi nimewaza hivyo huyu jamaa inabidi wawe makini nae sana hata huko gerezani inabidi awekwe mahabusu ya peke yake.Hapana asidharauliwe akipata upenyo kidogo tu... Anaweza kuleta majanga makubwa.... Kumbuka hana cha kupoteza kwasasa kwahiyo si ajabu anapanga kuua tena
Ni kweli kabisa,huyu ni wa kumuangalia na kumchunga sana.....hiyo kauli ya kukata tamaa.Hapana asidharauliwe akipata upenyo kidogo tu... Anaweza kuleta majanga makubwa.... Kumbuka hana cha kupoteza kwasasa kwahiyo si ajabu anapanga kuua tena
Mfanyabiashara Hamis Said anayekabiliwa na kesi ya kumuua Mkewe Naomi Marijani kisha kumchoma moto ametoa vitisho ktk Mahakama ya Kisutu akidai atawafanyia kitu kibaya Wanahabari "Wamekuwa wakinipiga picha kuanzia chini hadi ndani ya Mahakama, sasa nitakuja kuishangaza Mahakama"
Kweli kabisa yaani hapo hukumu yake kunyongwa had kufa au maisha so Hana Cha kupoteza ashajua teyar hachoki hapo katika hyo kesiHapana asidharauliwe akipata upenyo kidogo tu... Anaweza kuleta majanga makubwa.... Kumbuka hana cha kupoteza kwasasa kwahiyo si ajabu anapanga kuua tena
Umesema kweli. Asidharauliwe. Anaweza kuftuka kama risasi kutoka kwenye kizimba, tahamaki, unakuta keshavunja shingo ya mpiga picha mmoja kama pingili ya muwa. Kwa watu wataalam muda wa sekunde 30 tu wanaweza kumuua mtu tena kwa mikono tu au kwa kutumia kifaa chochote kilicho karibu.That's what should be done...!!!
Mkuu kumbe mahakama za ulaya nazo zinapiga vitanzi.Lakini bado hajapatikana na hatia. Nishasikia kisa kimoja uko ulaya watu walifake mada na kumtunia ushahidi mtu asiye husika, kwa kutokosa umakiini mahakama ilimpiga kitanzi yule jamaa baada ya muda ilijilikana ailye uwawa siye bari alijitolea tu kuthibitisha mapungufu ya mifumo yetu.
Tusubiri tuone mwisho wake.
This is an absolutely true!He is revealing his true inside....
Kesi yake haipaswi kucheleweshwa hukumu... Na akishahukumiwa fasta avishwe kitanzi kuepesha matatizo zaidiKweli kabisa yaani hapo hukumu yake kunyongwa had kufa au maisha so Hana Cha kupoteza ashajua teyar hachoki hapo katika hyo kesi
Wakimpa upenyo atamniga mtu hapo na hata huyo hakimu anaesikiliza hyo kesi awe makin awakawiii kukurupuka hafla bin vu huyu hapa