Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,587
Na kweli akipata upenyo ataishangaza mahakama.Hapana asidharauliwe akipata upenyo kidogo tu... Anaweza kuleta majanga makubwa.... Kumbuka hana cha kupoteza kwasasa kwahiyo si ajabu anapanga kuua tena