Dar: Aliyemuua mkewe na kuuchoma mwili kwa mkaa awatisha Wanahabari

Mfanyabiashara Hamis Said anayekabiliwa na kesi ya kumuua Mkewe Naomi Marijani kisha kumchoma moto ametoa vitisho ktk Mahakama ya Kisutu akidai atawafanyia kitu kibaya Wanahabari "Wamekuwa wakinipiga picha kuanzia chini hadi ndani ya Mahakama, sasa nitakuja kuishangaza Mahakama"
uyo bange inamdanganya
 
Mfanyabiashara Hamis Said anayekabiliwa na kesi ya kumuua Mkewe Naomi Marijani kisha kumchoma moto ametoa vitisho ktk Mahakama ya Kisutu akidai atawafanyia kitu kibaya Wanahabari "Wamekuwa wakinipiga picha kuanzia chini hadi ndani ya Mahakama, sasa nitakuja kuishangaza Mahakama"
Kashavurugwa huyo ameshammiss shetani huko jehanam mahakama ifanye faster imruhusu akamsalimie shetan mwenzake huko jehanam
 
Lakini bado hajapatikana na hatia. Nishasikia kisa kimoja uko ulaya watu walifake mada na kumtunia ushahidi mtu asiye husika, kwa kutokosa umakiini mahakama ilimpiga kitanzi yule jamaa baada ya muda ilijilikana ailye uwawa siye bari alijitolea tu kuthibitisha mapungufu ya mifumo yetu.

Tusubiri tuone mwisho wake.
 
Mfanyabiashara Hamis Said anayekabiliwa na kesi ya kumuua Mkewe Naomi Marijani kisha kumchoma moto ametoa vitisho ktk Mahakama ya Kisutu akidai atawafanyia kitu kibaya Wanahabari "Wamekuwa wakinipiga picha kuanzia chini hadi ndani ya Mahakama, sasa nitakuja kuishangaza Mahakama"

Jamaa anaamini sana uchawi itakuwa. Hajiulizi uchawi kama upo imekuwaje ameishia ndani
 
Hapana asidharauliwe akipata upenyo kidogo tu... Anaweza kuleta majanga makubwa.... Kumbuka hana cha kupoteza kwasasa kwahiyo si ajabu anapanga kuua tena
Kweli kabisa yaani hapo hukumu yake kunyongwa had kufa au maisha so Hana Cha kupoteza ashajua teyar hachoki hapo katika hyo kesi

Wakimpa upenyo atamniga mtu hapo na hata huyo hakimu anaesikiliza hyo kesi awe makin awakawiii kukurupuka hafla bin vu huyu hapa
 
Lakini bado hajapatikana na hatia. Nishasikia kisa kimoja uko ulaya watu walifake mada na kumtunia ushahidi mtu asiye husika, kwa kutokosa umakiini mahakama ilimpiga kitanzi yule jamaa baada ya muda ilijilikana ailye uwawa siye bari alijitolea tu kuthibitisha mapungufu ya mifumo yetu.

Tusubiri tuone mwisho wake.
Mkuu kumbe mahakama za ulaya nazo zinapiga vitanzi.
 
Kweli kabisa yaani hapo hukumu yake kunyongwa had kufa au maisha so Hana Cha kupoteza ashajua teyar hachoki hapo katika hyo kesi

Wakimpa upenyo atamniga mtu hapo na hata huyo hakimu anaesikiliza hyo kesi awe makin awakawiii kukurupuka hafla bin vu huyu hapa
Kesi yake haipaswi kucheleweshwa hukumu... Na akishahukumiwa fasta avishwe kitanzi kuepesha matatizo zaidi
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom