wakaliwetu
JF-Expert Member
- Jul 16, 2020
- 671
- 1,129
Utani ktk maisha huuFidia ya laki tano itamsaidiaje mtoto huyo?
Utani ktk maisha huuFidia ya laki tano itamsaidiaje mtoto huyo?
Kwamba mtaani hakuna wanawake mpaka afikie hatua hii!Mahakama ya Wilaya ya Temeke imemuhukumu Mkazi wa Chamanzi, Said Wanie (35) kifungo cha maisha kwa kosa la kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka tisa.
Pia mahakama hiyo imemuagiza mshtakiwa huyo kumlipa mtoto huyo fidia ya kiasi cha Sh. 500,000.
Kati ya Mei 3, 2020 maeneo ya Chamanzi Wilaya ya Temeke mshtakiwa huyo alimlawiti mtoto huyo huku akijua kufanya hivyo ni kosa la kisheria.
Akitoa hukumu hiyo Hakimu Mkazi, Anna Mpessa alisema mahakama hiyo imejiridhisha na ushahidi uliotolewa na mtoto mwenyewe pamoja na vielelezo vilivyotolewa na daktari vikionyesha kuwa mtoto huyo amelawitiwa.
Mpessa alisema katika ushahidi uliotolewa na mtoto mwenyewe ulidai kuwa akiwa maeneo ya nyumbani kwao anacheza mshtakiwa huyo alifika na kumwambia alikuwa anaitwa na mtu aliyetambulika kwa jina moja la Musa ambaye ni mlinzi wa Shule ya Sekondari ya Chamanzi.
Alisema mtoto huyo aliieleza mahakama hiyo kuwa aliongozana mshtakiwa huyo mpaka kwenye choo cha shule hiyo na alipoingia ndani alifunga mlango kisha akamvua nguo na kummwagia maji mwili mzima baadaye alianza kumlawiti .
Mpessa alisema mtoto huyo alidai baada ya kumfanyia vitendo hivyo mshtakiwa aliondoka na kumwacha hapo chooni na alipofika nyumbani alimweleza dada yake kuhusiana na kitendo hicho ambapo naye alimweleza mama yake..
Alisema kutoka na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka akiwemo mtoto mwenyewe hakuwa na shaka yoyote hivyo mahakama hiyo ilimtia hatiani mshtakiwa huyo.
"Hivyo mahakama hii inakuhukumu kwenda jela maisha kwa kosa la kumlawiti mtoto wa miaka tisa na pia unatakiwa umlipe fidia ya kiasi cha Sh 500,000.
Awali Wakili wa Serikali, Eric Shija aliomba kuwa mahakama hiyo itoe adhabu kali Kwa mshtakiwa huyo ili iwe fundisho kwa wengine.
Mwananchi
Na hata hivyo, mfungwa wa maisha atapataje fursa ya kulipa faini!Fidia ya laki tano itamsaidiaje mtoto huyo?
Anaweza pia akawa ni askofu,Atakua ostadhi tu uyo
Katekista sijui mlei kafanya yake katavi hukoAtakua ostadhi tu uyo
Vipi ukimuona anaenda sunday school?Nikimwona mtoto mdogo wa Kike anaenda Madrassa, and sometimes wa kiume huwa nasisimka, naogopa tu, maaana these stories never end.
Mahakama ya Wilaya ya Temeke imemuhukumu Mkazi wa Chamanzi, Said Wanie (35) kifungo cha maisha kwa kosa la kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka tisa.
Pia mahakama hiyo imemuagiza mshtakiwa huyo kumlipa mtoto huyo fidia ya kiasi cha Sh. 500,000.
Kati ya Mei 3, 2020 maeneo ya Chamanzi Wilaya ya Temeke mshtakiwa huyo alimlawiti mtoto huyo huku akijua kufanya hivyo ni kosa la kisheria.
Akitoa hukumu hiyo Hakimu Mkazi, Anna Mpessa alisema mahakama hiyo imejiridhisha na ushahidi uliotolewa na mtoto mwenyewe pamoja na vielelezo vilivyotolewa na daktari vikionyesha kuwa mtoto huyo amelawitiwa.
Mpessa alisema katika ushahidi uliotolewa na mtoto mwenyewe ulidai kuwa akiwa maeneo ya nyumbani kwao anacheza mshtakiwa huyo alifika na kumwambia alikuwa anaitwa na mtu aliyetambulika kwa jina moja la Musa ambaye ni mlinzi wa Shule ya Sekondari ya Chamanzi.
Alisema mtoto huyo aliieleza mahakama hiyo kuwa aliongozana mshtakiwa huyo mpaka kwenye choo cha shule hiyo na alipoingia ndani alifunga mlango kisha akamvua nguo na kummwagia maji mwili mzima baadaye alianza kumlawiti .
Mpessa alisema mtoto huyo alidai baada ya kumfanyia vitendo hivyo mshtakiwa aliondoka na kumwacha hapo chooni na alipofika nyumbani alimweleza dada yake kuhusiana na kitendo hicho ambapo naye alimweleza mama yake..
Alisema kutoka na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka akiwemo mtoto mwenyewe hakuwa na shaka yoyote hivyo mahakama hiyo ilimtia hatiani mshtakiwa huyo.
"Hivyo mahakama hii inakuhukumu kwenda jela maisha kwa kosa la kumlawiti mtoto wa miaka tisa na pia unatakiwa umlipe fidia ya kiasi cha Sh 500,000.
Awali Wakili wa Serikali, Eric Shija aliomba kuwa mahakama hiyo itoe adhabu kali Kwa mshtakiwa huyo ili iwe fundisho kwa wengine.
Mwananchi
Atakua ostadhi tu uyo
Nipe connection ya hiyo telegram mkuuWakati telegram wamejaa madem kibao
Tena wanakuambia kabisa tunapiga miguu
Yote yote !
Ova
Sababu mojawapo ni kuwa wanasema ni against the will of GodHivi hawa wanaharakati wa haki za binadamu wanaopinga adhabu ya kifo (kunyongwa) huwa wanawafikiria vipi wanaotendewa unyama kama huyu mtoto?
Vipi ukimuona anaenda sunday school?
Tena anaenda fundishwa na dume linalodai halijawahi kuchobea.Vipi ukimuona anaenda sunday school?
Ohooo!!!Wakati telegram wamejaa madem kibao
Tena wanakuambia kabisa tunapiga miguu
Yote yote !
Ova