OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
wanajamii yule muasisi wa chama ndani ya chama ndugu daniel porokwa amegaragazwa vibaya katika kinyanganyiro cha udiwani kata ya engutoto monduli.
Mkuu wangu, kunywa maji kwanza upunguze munkali then ndio ujipange vizuri kuandika thread yako!wanajamii yule muasisi wa chama ndani ya chama ndugu daniel porokwa amegaragazwa vibaya katika kinyanganyiro cha udiwani kata ya engutoto monduli.
Hujaeleweka!ni wa chama gani!na kulikuwa ma nini mpaka abwagwe?weka nyama watu wafaidiwanajamii yule muasisi wa chama ndani ya chama ndugu daniel porokwa amegaragazwa vibaya katika kinyanganyiro cha udiwani kata ya engutoto monduli.
<br />Mtoa mada mwenyewe anaitwa "kanusu", what do you expect!
<br />unawaza kutumi wowowoo
<br />wanajamii yule muasisi wa chama ndani ya chama ndugu daniel porokwa amegaragazwa vibaya katika kinyanganyiro cha udiwani kata ya engutoto monduli.