SN.BARRY JF-Expert Member Oct 12, 2012 4,040 8,895 Jun 9, 2021 Thread starter #21 GENTAMYCINE said: Kama ni Mzungu ndiyo Mhubiri nitamuamini kuliko Mwafrika Mwenzangu kwani hata katika Neno MZUNGU ukiiondoa Herufi ' Z ' tu neno linalobakia ndiyo Mmiliki Mkuu wa hii dunia tuliyopo sasa. Click to expand... Ha ha ha
GENTAMYCINE said: Kama ni Mzungu ndiyo Mhubiri nitamuamini kuliko Mwafrika Mwenzangu kwani hata katika Neno MZUNGU ukiiondoa Herufi ' Z ' tu neno linalobakia ndiyo Mmiliki Mkuu wa hii dunia tuliyopo sasa. Click to expand... Ha ha ha
SN.BARRY JF-Expert Member Oct 12, 2012 4,040 8,895 Jun 9, 2021 Thread starter #22 WATU WAMEOKOKA NA KUPONYWA! UTUKUFU KWA MUNGU!.
Bambushka JF-Expert Member Jan 9, 2020 3,956 7,209 Jun 9, 2021 #24 bato said: Sembe limeanza tena Click to expand... Umeelewa eeeh!!? Distribution chains Everyday is Saturday...............................
bato said: Sembe limeanza tena Click to expand... Umeelewa eeeh!!? Distribution chains Everyday is Saturday...............................
T Tony Laurent JF-Expert Member Jan 5, 2011 4,726 5,442 Jun 9, 2021 #25 Mungu aibariki Injili yake iwafikie watu wote. Amen
SN.BARRY JF-Expert Member Oct 12, 2012 4,040 8,895 Jun 9, 2021 Thread starter #26 Tony Laurent said: Mungu aibariki Injili yake iwafikie watu wote. Amen Click to expand... Ameeeen!
Mcheza Viduku JF-Expert Member Jun 24, 2020 1,049 2,535 Jun 9, 2021 #27 SN.BARRY said: No, alikuwa kijana wake. Huyu dogo alikuwa anazunguka na Bonnke kona zote. Click to expand... Kamuoa binti wa Reinhard Bonke (yeye Danny ni mkwe kwenye familia ile)
SN.BARRY said: No, alikuwa kijana wake. Huyu dogo alikuwa anazunguka na Bonnke kona zote. Click to expand... Kamuoa binti wa Reinhard Bonke (yeye Danny ni mkwe kwenye familia ile)