mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,797
- 105,935
Mshaanza na mada zenu za Tss sasahuyu jamaa ni TISS.
TISS ni tawi la CCM
Jf bila kuwataja hao hamjisiki raha
Ova
Mshaanza na mada zenu za Tss sasahuyu jamaa ni TISS.
TISS ni tawi la CCM
Mnapolaumu basi angalau muonyeshe ufumbuzi ukoje. Sawa kunahitajika Katiba mpya. Mtueleze ITAPATIKANAJE? Mtaisubiri kama zawadi au mtaidai?
Huyo jamaa bado hadi leo siwezi sikiliza speech zake. Alikuwa sumu sana kwakweli.Nilimpinga sana JPM, nahisi nitamkumbuka Siku sio mingi
Toa sababu mkuu,, kupinga bila kuweka sababu ni ubishi.Mimi nilipinga uteuzi wa Bashiru Ally waziwazi na humu na napinga uteuzi wa chongolo sio sahihi kabisa .Let every body take note
Mama atuondolee hawa team dictator maana wamejaa sumu zaidi ya cobra.Hayo ni maneno ya kuwapooza team dictator na Ile gang. Ila matendo ndiyo kama hivi. Mpaka CC utaons mambo huko. Tusubiri matokeo. Nina imani kubwa na mama. Tumpe muda Mkuu.
COVID 19 hawawezi kuunga juhudi. Pamoja na kwamba mpaka sasa hawana sifa ya kuwa wabunge, wakiunga juhudi wanakosa sifa za kuwa wabungeMkuu kuna mambo mengine ni sensitive sana kuyasemea haraka. Ataenda nayo taratibu akishapata uongozi wake wa Chama. Serikali tayari japo najua bado ataingia maeneo. Tumpe muda tuone. Hao Covid19 najua suluhu itapatikana na kuna dalili wataunga juhudi.
Kabla ya hapo alikuwa mhariri gazeti la uhuruDANIEL GODFREY CHONGOLO Alikuwa Makao Makuu ya Chama Enzi Ya Akina Nape, Chongolo alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano kwa Umma kilichokuwa chini ya idara ya Sera na Uenezi(Kitengo cha Propaganda).
Acha chuki wewe, kanda ya ziwa ndiyo kanda ya maamuzi ya mstabari wa nchi, unaionaona tu kirahisi rahisi chunga sanaYaani Mama wa Watu ( Mheshimiwa Sana ) amrudishe Madarakani Mtu ambaye alimhatarishia Nafasi yake ndani ya miaka Mitano iliyopita kwa Kumfitinisha na Kumchongea kwa Bosi wake Mkuu Mtukutu, Mkurupukaji na mwenye Visasi vingi?
Nitamdharau mno Mama ( Mheshimiwa Sana ) nikisikia amemteua huyu 'Intarahamwe' wa Kanda ya Ziwa katika Nafasi yoyote ile kwani kwa zile 'dossiers' zake zilizopo Idara Nyeti ni Mtu Hatari mno kwa Ustawi mzima wa Amani ya Tanzania yetu hii.
Huyo ni kijana mtiifu wa JK
Anauwezo mzuri sana wa kuongozaHabari wanajamvi
Anaye mfahamu huyu mwamba atujuze
Kwa hakika CCM ni chama kweli kweli kikubwa kweli kweli in Mzee Mwinyi voice
Nawasilisha
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Elimu yake kazi na wasifu kwa ujumlaHabari wanajamvi
Anaye mfahamu huyu mwamba atujuze
Kwa hakika CCM ni chama kweli kweli kikubwa kweli kweli in Mzee Mwinyi voice
Nawasilisha
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Juzi kati alikuwepo hapa jamvini na alikuwa anauliza maswali sana!Najiuliza sijui member mwenzetu wa Jamiiforum Ritz yuko wapi siku hizi?
Wakongwe wa JF wataelewa nauliza nini na kwa nini!
Aliuza katibu wakw mkuu, Kinana. Hilo ameliongea Magufuli mpaka anaelekea kwa muumbaMalizia aliuza mashine za uhuru kma vyuma chakavu ndio meko kumtoa na kumpa udc