Damu ya mtu hunuka

Alitoka magereza hope this year. Nilisikia akihojiwa alijibu kuwa that day ni zile dawa za kumzuia asionekane wakati amebeba vichwa zilikosewa. Naamini hataacha. Time will tell.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumuombee sana amefahamu mambo makubwa magumu katika umri mdogo sana.... Watu wanapopinga tena kwa nguvu kabisa kuwa hakuna uchawi hua nawaangalia kwa mshangao sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmh karma haukuwachelewesha karma is bitch wanavyosema kwa lugha ya malkia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nlikuwa sijui hata Spree killer Ni nani..asante.
 
Mkuu halafu kwa hali hii dawa ni kuandaman tu kama kupiga riasasi atuue tu wote mie ntashangaa sana kama hili nalo litapita bila raia wapenda haki kuoneshakupinga kwa maandamano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…