Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,174
Kachemka, wakati timu zinajitahidi kupata mashabiki nje ya nchi zao lakini yeye analeta mambo ya ajabu, issue hapo Kila timu ihakikishe mashabiki zake wanajaza uwanja ambapo automatically hata wakija watu wamevaa jezi ya mgeni wanafunikwa.Tokea lini uvaaji wa nguo ukahitaji ruhusa ama uhakiki wa uraia?
Hivi huyu Waziri bado yupo madarakani kweli? Amekiuka Katiba ya nchi
Tunataka tuondoe uhalisia wa soka letu Kwa upande mashabiki