Dalili zipi za mtu aliyechepuka?

Dalili zipi za mtu aliyechepuka?

Kwanza mwanamke akirudi home kama ashachinjwa.
1. Atakuwa anaongea sana,
2. Hataki kukaa karibu na wewe.
3. Mara nyingi akiingia ndani brek ya kwanza bafuni, hata kama alishaoga huko, kuondoa harufu ya sabuni ya gest. Kisha nguo alova siku hiyo zinalowekwa fasta.
3. Siku hiyo ataenda kulala mapema akidai hajisikii vizuri, ili kuepudha kuombwa gemu na yeye kifanyio kisha choshwa hoi.

Kama demu wako amekubuhu, hata akitoka kutiwa dakika kumi zilizopita hutagundua asilani.
Kama nmekuelewa kumbe hivi vichwa vinavyouma baada ya mtu kutoka mizunguko na mtu kuamua kulala inawezekana vikaashiria kitu
 
Aaarghh tafuta ile dawa ya kung'ang'aniana wakukutana usihangaike sana. Ni mkeo au nae ni mchepuko wako?
 
Anaanza kujijali haswa akijisahau akaongelea mambo ya kuvutia wakati upo nae alikuwa hafanyi labda kwa muda mrefu au miaka.

Anaanza kujiona apendeze kila anapotoka bila kujali kaenda sokoni kariakoo au kaenda mlimani city au Hyatt etc...

Anaongea sana na rafiki zake na kucheka na kuwa na furaha maongezi ambayo hata usikii akitaja jina la mtu au kaka na dada kwa wingi

Rafiki mmoja anayeongea nae sana ndie anajua kinachoendelea, yaani shostisho au nduguye ambaye unaona hawana mazoea ya kuongea

Ananunua viti alikuwa hana kukuvutia wewe, sasa inabidi anunue kumvutia huyo mwenza mpya

Usicheze na wanawake wana maarifa sana, unaweza gundua akakubadili mawazo na maneno swafiiii ukaishia kukaa tena kama mburulaz tu anakuchekea kwa kisogo.

Vizia tu simu akiiweka chini kabla hajaijifunga toka nje kasake bila hivyo unalo, ingia kwenye gari kapekue uwezavyo.

Ila ungesena umeona nini na unauliza ili tukusaidie kaka.

Na weye unachepuka au umetulia?
Kumbeee..Wiiiiizy mtupu
 
Wazee wetu wa zamani walikuwa wanawambia wavue nguo wachuchumae,halaf anamnusisha ugoro kwenye pua,akipiga chafya tu, kama ametoka kuliwa shahawa lazima zitoke zidondoke
Hahaaha dah..... Ananusishwa ugoro kwa muda gani mkuu?
 
Wazee wetu wa zamani walikuwa wanawambia wavue nguo wachuchumae,halaf anamnusisha ugoro kwenye pua,akipiga chafya tu, kama ametoka kuliwa shahawa lazima zitoke zidondoke
Hahahaahaha...dah..watu wabunifu sana
 
Kama ni mwanaume,na mna mtoto mchanga akifika home tu anataka akaoge fasta.mama jua hapo umeshanyonyeshewa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom