Mbali mbinguni au wapi wacha ujinga akupendi huyo angekupenda angekubali kucheki afya yake yupo kukutumia tu ha ha ha ha ha mbavu zangu na pua inakuwa ya kijaniMkuu huyu mke wangu tumetoka nae mbali sana, so nashindwa kumuacha.
good...but siku Hz watu wamekua wajanja hawajipulizii pafyumu ovyo
Ha ha ha ha mbavu zangu na lakulia linakuwa la kijani?Jicho lake la kushoto linakuwa jekundu.
Mzee wakwako hachepuki?kama hachepuki unajuaje kama hachepuki...wakati mwingine watu wetu wanachepuka bila kufahamu ndo mana tumeweka uzi huu ili tushare ideas za kugundua kwa uraisi...ujuzi wako siyo sawa na wangu au wa mwingine....Yaani wewe ni mtu wa ajabu sana.unaanzaje kutafuta tiba badala ya kutafuta kinga kwanza.
Naongelea aliyetoka kugegedwa au kugegedaAnaanza kujijali haswa akijisahau akaongelea mambo ya kuvutia wakati upo nae alikuwa hafanyi labda kwa muda mrefu au miaka.
Anaanza kujiona apendeze kila anapotoka bila kujali kaenda sokoni kariakoo au kaenda mlimani city au Hyatt etc...
Anaongea sana na rafiki zake na kucheka na kuwa na furaha maongezi ambayo hata usikii akitaja jina la mtu au kaka na dada kwa wingi
Rafiki mmoja anayeongea nae sana ndie anajua kinachoendelea, yaani shostisho au nduguye ambaye unaona hawana mazoea ya kuongea
Ananunua viti alikuwa hana kukuvutia wewe, sasa inabidi anunue kumvutia huyo mwenza mpya
Usicheze na wanawake wana maarifa sana, unaweza gundua akakubadili mawazo na maneno swafiiii ukaishia kukaa tena kama mburulaz tu anakuchekea kwa kisogo.
Vizia tu simu akiiweka chini kabla hajaijifunga toka nje kasake bila hivyo unalo, ingia kwenye gari kapekue uwezavyo.
Ila ungesena umeona nini na unauliza ili tukusaidie kaka.
Na weye unachepuka au umetulia?
Mwangaza unanza kujaAnaweza kuongrza uchangamfu kupita awali, atajifanya anakupenda na kukujali sana ili hali siyo kawaida yake au kufanya kinyume na hivyo na yote haya nikukupumbaza tu akili
Atafanya vitu ambavyo awali alikuwa havifanyi kama kukulisha,kukuletea zawadi,kuogeshwa au kuoga wote au asivifanye kabisa,,,,
Kubwa kabisa atakujali sana kwa kujua ulipo na unachofanya na muda wako wa kurudi nyumbani ,, pia usiri uliopitiliza katika simu yake ie kuwa silent muda wote au kufichwa kila mara au kutembea nayo ata kama anaoga au anapika
Mtauana na maradhi ya ajabu ajabuZama chumvini tu ukikuta radha tofauti na uliyoizoea jua ushachapiwa
Naongelea aliyetoka kugegedwa au kugegeda
Utamkuta yupo kwa mchepukoKwa wajuzi wa mambo....hv unawezaje kumgundua mpenzi aliyetoka kuchepuka!!!
Najua wengi tutajifunza hapa...na lengo hasa ni kupeana uzoefu na kupeana mbinu mbadala za kukabiliana na wachepukaji coz michepuko ni janga kuu ...