Dalili za ushoga....

Dalili za ushoga....

mleta mada yuko sahihi hata kupinga mada ya mjita mwenzio saana kutia vigezo mingi iko nayo ni dalili ya naniiii!:rockon:
 
Mmh ,mmmh kwa maelezo yako na wasi wasi naye , kwa kuanza kutu rusha roho ya uandsome wako, halafu kwanini jamani una sema huyo rafiki yako n amashinde kubwa/ wengine ndio ugonjwa wetu, ona sasa ulivyo fanya umeshanipa shida ya kumwaza huyo rafiki yako, yuko wapi je unaweza nipa number yake?
Mchizi kumpata ni ngumu ni bonge la traveller hatulii sehem moja leo kaenda kwa mkaburu kesho msumbiji yaan hasomeki ningekupa akutafute mfurahishane kidogo
 
Naona Mashoga wameshavamia Thread. Asubuhi imeshaingia nuksi
 
Mchizi kumpata ni ngumu ni bonge la traveller hatulii sehem moja leo kaenda kwa mkaburu kesho msumbiji yaan hasomeki ningekupa akutafute mfurahishane kidogo

Ni nani huyo jamaa au yule ananziwa na jina la O? jamani jamani hebu japo siku moja tuu nionane naye, au wewe vipi kuonana na wewe?
 
Dalili za ushoga ni nyingi
mno km
1. Kutia kalikiti kichwani
2. Kujichubua
3. Kutinda nyusi/kujiangalia sana kwenye kioo
4. Kutoboa pua/sikio
5. Kupaka lip shine
6. Kuvaa nguo za kuacha mattako nje
7.Umbea
8.Kupigana vijembe
9.Kupenda taarabu
10. Kurembua macho/Kulegeza sauti
11.Endeleza.......


Ni ipi kati ya hizi uko nayo?

Inabidi utofautishe maana ya DALILI na MUATHIRIKA(MGONJWA).

Dalili
Hizi zinaashiria kuja kwa tukio fulani(e.g mvua, malaria etc)

Ugonjwa/Mgonjwa
Huyu tayari ameshaathirika

Ulizoandika sidhani kama ni dalili haswa za ushoga. Naweza kusema dalili za ushoga ni kupenda kulawitiwa!! Ukijisikia unapenda kulawitiwa TU, fahamu tayari ushoga unanukia.

Ulizoweka hapo ni baada ya kuwa shoga sasa. ILA umbea aisee kama ni kweli basi wanaume karibu wote ni MASHOGA lol!!!
 
Wanaume mkikaa gheto moja hivyo vitu kujuana ni suala la kawaida na jamaa alikuwa ndo sifa yake hadi chuoni watu wanamjua


Mwanaume lhawezi onyesha uume kwa mwanaume mwenzake unajua, ila yule mwenye kutaka uone ujue anakushow na ana enjoy kuona unamwangalia , tena ina wezekana alikua anakutega kijanja tena na umesuka enzi hizo, basi huyo hakua na nia nzuri kwako , shukuru umebahatika kulambwa na huyo jamaa
 
Inabidi utofautishe maana ya DALILI na MUATHIRIKA(MGONJWA).

Dalili
Hizi zinaashiria kuja kwa tukio fulani(e.g mvua, malaria etc)

Ugonjwa/Mgonjwa
Huyu tayari ameshaathirika

Ulizoandika sidhani kama ni dalili haswa za ushoga. Naweza kusema dalili za ushoga ni kupenda kulawitiwa!! Ukijisikia unapenda kulawitiwa TU, fahamu tayari ushoga unanukia.

Ulizoweka hapo ni baada ya kuwa shoga sasa. ILA umbea aisee kama ni kweli basi wanaume karibu wote ni MASHOGA lol!!!
Kabisa , dalili za ushoga ni kujisikia rufaha, raha , amani kuwa karibu na mwanaume wenzako au mtu wa jinsia yako, , hayo ya kuvaa , kujipamba na kutoga masikio sio ya lazima.
 
kuna wenzio hawana dalili hata moja kati ya izo apo ila wanafanya mambo mazito zaidi ya wayafanyayo hao unaowaita mashoga.............chezea mchicha mwiba weye!!!!!
 
Boflo

gay_black.jpg

Ulimwengu umekwisha
 
Last edited by a moderator:
Kupenda dezo


:nod::nod::A S thumbs_up: Kweli kabisa ............ hapo kwenye red ............... utamwaona mwanaume MZIMA anaomba omba hela kwa wadada ......... anunuliwe lunch............anunuliwe juice ............ anunuliwe icecream ..'Oh hizi nazipendaga kweli" ... na eti huyo anajiona GENTLEMAN ........... kweli hizo ni DALILI TOSHA KUWA HILO DUME NI SHOGA.
 
:nod::nod::A S thumbs_up: Kweli kabisa ............ hapo kwenye red ............... utamwaona mwanaume MZIMA anaomba omba hela kwa wadada ......... anunuliwe lunch............anunuliwe juice ............ anunuliwe icecream ..'Oh hizi nazipendaga kweli" ... na eti huyo anajiona GENTLEMAN ........... kweli hizo ni DALILI TOSHA KUWA HILO DUME NI SHOGA.


Huyo anaye omba omba anaweza kua sio shoga ila ana fanya vitendo vya kishoga tokana na tamaa.alikini shida zitakapo isha hurudia kua mwanaume kamili.
 
Back
Top Bottom