JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,309
- 5,464
Mpaka leo Jumatano Machi 16, 2022 katika mzunguko wa 17 wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara (NBC PL 2021/22), kikosi cha Yanga kimeongoza kwenye takwimu muhimu nne.
● Magoli ya kufunga – 29
● Magoli ya kufungwa – 4
● Assists – 21
● Cleansheets – 13
Je, unadhani hizi ni dalili tosha za ubingwa kwa Yanga msimu huu?
● Magoli ya kufunga – 29
● Magoli ya kufungwa – 4
● Assists – 21
● Cleansheets – 13
Je, unadhani hizi ni dalili tosha za ubingwa kwa Yanga msimu huu?