Opaque
JF-Expert Member
- Oct 24, 2008
- 1,359
- 719
Takwimu zinaonyesha kwamba mara ya mwisho Yanga kuishinda Simba katika mechi ya Ligi ya Bara ni tarehe 03/07/2021. Hii ina maanisha kwamba Yanga imeshindwa kuifunga Simba na imekuwa mnyonge wa Simba katika Ligi ya Bara kwa muda wa miaka miwili mfululizo
03/07/2021: Simba 0-1 Yanga
11/12/2021: Simba 0-0 Yanga
30/04/2022: Yanga 0-0 Simba
23/10/2022: Yanga 1-1 Simba
16/04/2023 Simba 2-0 Yanga
03/07/2021: Simba 0-1 Yanga
11/12/2021: Simba 0-0 Yanga
30/04/2022: Yanga 0-0 Simba
23/10/2022: Yanga 1-1 Simba
16/04/2023 Simba 2-0 Yanga