Dalili za kwamba mwanamke hakufai

Dalili za kwamba mwanamke hakufai

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
21,854
Reaction score
26,093
1. Hutumia muda mwingi kujiremba kujipaka vipodozi.
2. Ni mzito sana katika shughuli za kujishughulisha au hata kujifanyia usafi hata nyumba aishiyo.
3. Hupenda kulala mchana huku akiwa mkali katika kutoa maelekezo kwa housegirl wake.
4. Huwa katika Facebook na mitandao mingine kwa muda mrefu.
5. Hupenda mambo ya hali ya juu yamfikie kimiujiza bila kujishughulisha.
6. Simu yake kuigusa ni lazima pachimbike japo ni mkeo.

WADAU TWAWEZA ZIENDELEZA ZAIDI.
 
1>hutumia muda mwingi kujiremba kujipaka vipodozi!
2>ni mzito sana ktk shughuli za kujishughulisha au hata kujifanyia usafi ktk hata nyumba aishiyo!
3>hupenda kulala mchana huku akiwa mkali ktk kutoa maelekezo kwa h/g wake!
4>huwa ktk fb na mitandao mingine kwa muda mrefu!
5>hupenda mambo ya hali ya juu yamfikie kimiujiza bila kujishughulisha!
6>simu yake kuigusa ni lazima pachimbike japo ni mkeo//WADAU TWAWEZA ZIENDELEZA ZAIDI!

Dalili Zote Mke Wangu Anazo Ila Sio Changudoa.
 
mapenzi ya siku hizi ruksa kushikana sio kushikiana simu
 
Hapendi ndugu zako,mgeni amefika hajakaa anulizwa anarudi kwao lini.
 
Sim ya mkononi sio kitu cha kushirikiana, ndio mana line inasajiliwa kwa jina la mtu mmoja, kama mnataka kuchunguzana kwenye sim basi nunua sim za TTCL za mezan, mambo ya kupekuana pekuana hayana maana kabisa.
 
Mambo kuhusu familia mliyoongea chumbani,unayasikia kwa jirani zako!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom