dalili za kushtua kwa wanawake au wanaume

dalili za kushtua kwa wanawake au wanaume

muudy

Senior Member
Joined
May 25, 2013
Posts
156
Reaction score
22
najua nitakumbana na vichwa humu ambao wataweza kulifafanua hili suala hivi inakuwaje unamkuta mwanamke au mwanamme hamjuani wala hamjawahi kuonana sehemu yoyote na akukutolea macho kwa sana lakini ukimuangalia yeye anageuza uso na kama ni wewe unafanyaje?
 
hebu nipeni mtazamo wenu juu ya hili
 
::Hata mimi huwa najiuliza,,ngoja tusubiri majibu=
 
mi nina shingo tu ngoja hivyo vichwa vije vitufafanulie......mie shingo nimeambulia patupu.
 
Mpe heshima

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Inabidi kweli umpotezee kwani kuangaliwa si vibaya labda amekufananisha au amekupenda au anasababu nzuri nyingi tu. Kumbuka wengine huchukua muda kuuliza kama alikuona mahala flani. Na mwingine anakutathmini kama ungekua mkewe ingekuaje.
 
Au mpo kwenye kikao au semina afu mtu akakukonyeza...hivi utafikiriaje?
 
Kitendo cha wewe kuweka tu hii mada yako MMU, nadhani una idea ni nini maana ya hiyo gesture!!

najua nitakumbana na vichwa humu ambao wataweza kulifafanua hili suala hivi inakuwaje unamkuta mwanamke au mwanamme hamjuani wala hamjawahi kuonana sehemu yoyote na akukutolea macho kwa sana lakini ukimuangalia yeye anageuza uso na kama ni wewe unafanyaje?
 
Funguka bwana..!!
Kama hayajakukuta basi umefanya

Mi kila nikiangalia avatar yako...huwa naona unaniangalia tuuu kila siku, una nini nami hebu nieleze tafwazali
 
Back
Top Bottom