Eugene Krabs
JF-Expert Member
- Feb 19, 2026
- 371
- 754
There will be signs
Sasa ndio maana wakamwingiza chaka mapema kwa sababu walishajua kuna siku 130 za kukaa huko na huku walihofia jamaa atakichafua sanaaaTayari! One can precisely guess the outcome.
Hawezi kuandika ukweli au uongo aliousikia.
Naishia hapa
Dahh, ii codes mnaelewa vipi wenzetuSasa ndio maana wakamwingiza chaka mapema kwa sababu walishajua kuna siku 130 za kukaa huko na huku walihofia jamaa atakichafua sanaaa
Njoo nikuuzie jeneza used kwa bei ndogo ili ukifa usiwasumbue ndugu zako kuchanga hela ya jenezaKatumbikie kwenye jeneza used uzikwe kama jina lako
Muislami anazikwa na jeneza? Takataka kujipa majina mabaya yatakurudia, we subiri siku moja au mbili zijazo utakuwa kwenye jeneza 😀😃😄😁😆😅😂 utani usiogopeNjoo nikuuzie jeneza used kwa bei ndogo ili ukifa usiwasumbue ndugu zako kuchanga hela ya jeneza
Kukataa ushahidi....kuna ashiria nini? Suppose angelikuja s100 akasema mimi huyu hawezi kunipindua na serikali yangu namuamini...halafu Judge unasema hawa sikubali wawe mashahidi...Dahh, ii codes mnaelewa vipi wenzetu
Hivi kweli kuna mwanaCCM humu anaelewa hizi codes. Maana jamaa ni watupu balaa. Hata wenye degree hawajui chochote, nadhani walionga maana ndicho kitu wanachokijuaKukataa ushahidi....kuna ashiria nini? Suppose angelikuja s100 akasema mimi huyu hawezi kunipindua na serikali yangu namuamini...halafu Judge unasema hawa sikubali wawe mashahidi...
Kama hutaki aje physically, basi video conference!
Every time you go away, you take a piece of me with you.Tayari! One can precisely guess the outcome.
Hawezi kuandika ukweli au uongo aliousikia.
Naishia hapa
😂😅😆😀Acha kuzua taharuki
Hiyo inaitwa "guess what?",halafu ndiyo kwanza unawasili kutoka kuchimba dawa.Wanetu mnapenda kujiona mna akili
Si ndio wao, wakuu wa Idara na vitengo waliopokea na kutekeleza kutoka kwa Mashahidi wa mshitakiwa kumkamata Lissu na kumpa kesi ya uhaini na wahakikishe viongozi wa upinzani wasiotaka ushirikiano na wafuasi wao wanashughulikiwa na kudhibitiwa kisawasawa tena kwa ushahidi wa mauaji ya October 2025? Mbona iko wazi kabisa hiyo?Mimi nauliza, hivi Lissu anapomtaka rais, Makamu na Waziri Mkuu katika kesi ambayo maneno alotamka yeye ndio kiini cha kesi hii, kunahusikaje?
1. Atawauliza walisoma wapi na vyeo walivyopitia?
2. Wamepataje kazi hizo n.k au
3. Walijuaje kama yeye ana mpango wa kusababisha Uasi ndio maana akanukuu maneno yao kwenye mkutano ule..
Maana sielewi msingi wa kuwaita watu ambao hawakuwepo wakati wa mkutano huo, wala hawajasema mahala popote kuwa wao walisikia au walijua mpango wa Lissu kutaka kuhamasisha Uasi!
Upande wa Upepelezi naweza kuelewa lakini viongozi wa juu? Labda ingekuwa wao au mmoja wao ndio Washtakiwa.
Ahahahaha.Wanetu mnapenda kujiona mna akili
Mie siwezi kuogopa maana nauza majeneza huu mwaka wa kumi na nilishaandaa la kwangu special kabisa hata familia wanajua nikichomoka tu wanajua nimelihifadhi wapiMuislami anazikwa na jeneza? Takataka kujipa majina mabaya yatakurudia, we subiri siku moja au mbili zijazo utakuwa kwenye jeneza 😀😃😄😁😆😅😂 utani usiogope