ok.Tayari! One can precisely guess the outcome.
Hawezi kuandika ukweli au uongo aliousikia.
Naishia hapa
Tayari! One can precisely guess the outcome.
Hawezi kuandika ukweli au uongo aliousikia.
Naishia hapa
Kwamba??*Na mimi nimesikia muda si mrefu! aisee!!! Ngoja tuone reactions za wananchi.
Utakataaje mashahidi wa mshitakiwa? Nadhani hata natural justice inakataa hoja hiyo.Kumbe ndivyo ilivyo kuwa?
Baaasi imekwisha.!!
NB: SITAKI MASWALI.
Aulizwe mtoa mada
Yani shida ni kesi ya kujitungiaUtakataaje mashahidi wa mshitakiwa? Nadhani hata natural justice inakataa hoja hiyo.
Halafu kesho useme ushahidi uliopo unatosha kumtia hatiani. Labda kumuachia can make sense ukikataa mashahidi wake!
Umekataa mashahidi wangu halafu unifunge....IMANI SINA KABISA
Mbuyu umeanguka?Tayari! One can precisely guess the outcome.
Hawezi kuandika ukweli au uongo aliousikia.
Naishia hapa
Mhuni baba yako aliyetoka southMlioelewa huu Uzi mtutafsirie maana lugha inafanana na ya wale wahuni waliotoka South Africa
Hapana, njia ni nyembambaMbuyu umeanguka?