Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,549
- 86,143
Hahahaha kuna MTU aliweka thread akaeleza vizuri kabisa last week nadhani, wacha nijaribu kama nitakumbuka bàadhi
Moja, hapigi simu wala text hadi uanze wewe
Pili, ukiona siku ameanza yeye kukutumia SMS na very rare kukupigia simu basi ujue anataka pesa
Tatu, mapenzi yanakua ya moto moto ukiwa na pesa, au akijua una dalili ya kupata pesa, wacha ziishe sasa
NNE, anaweza akakuaga then unnamkuta ONLINE hata SAA nane usiku
Tano, mkitoka mna-spend unnecessarily na hawezi hata kuuliza au at least kuwa na huruma
Sita, anapenda yeye siku zote issues zake tu ndio ziwe attended promptly yaani hana hata staha kuwa na wewe hebu kajifanyie hiki
Saba, hawezi kukutambulisha kwa rafiki zake hata siku moja, au akifanya hivyo anafanya kwa masiala sana
Nane, hawezi kukununulia hata handkerchief ya buku, yaani ile ya kuzugia tu kuwa na wewe umepokea kitu kutoka kwa mpenzi wako.
Tisa, siku zote yeye ni MTU wa kulalamika tu, jambo dogo tu atalikuza na kukimbiliaa kusema kuwa MUACHANE! yaani mkitofautiana kidogo tu anakimbilia kukwambia muachane
Kumi, siku zote wewe ndio unayeomba msamaha hata kama kosa ni lake, yaani hawezi kukubali kosa kamwe.
Kumi na moja, yuko busy na simu hata mkiwa pamoja au anazima simu mkiwa wote na endapo atapokea anajibu kwa kifupi au anajibu kwa Ku"fake" sana yaani unajua tu hii simu hii.....
Kumi na mbili, haruhusu uende kwake bila appointment, yaani hataki surprise na ukifika hataki ukae sana.
Ushauri, Acheni Umalaya tafuta Mchumba umuoe au akuoe hutapata hizi mambo
Moja, hapigi simu wala text hadi uanze wewe
Pili, ukiona siku ameanza yeye kukutumia SMS na very rare kukupigia simu basi ujue anataka pesa
Tatu, mapenzi yanakua ya moto moto ukiwa na pesa, au akijua una dalili ya kupata pesa, wacha ziishe sasa
NNE, anaweza akakuaga then unnamkuta ONLINE hata SAA nane usiku
Tano, mkitoka mna-spend unnecessarily na hawezi hata kuuliza au at least kuwa na huruma
Sita, anapenda yeye siku zote issues zake tu ndio ziwe attended promptly yaani hana hata staha kuwa na wewe hebu kajifanyie hiki
Saba, hawezi kukutambulisha kwa rafiki zake hata siku moja, au akifanya hivyo anafanya kwa masiala sana
Nane, hawezi kukununulia hata handkerchief ya buku, yaani ile ya kuzugia tu kuwa na wewe umepokea kitu kutoka kwa mpenzi wako.
Tisa, siku zote yeye ni MTU wa kulalamika tu, jambo dogo tu atalikuza na kukimbiliaa kusema kuwa MUACHANE! yaani mkitofautiana kidogo tu anakimbilia kukwambia muachane
Kumi, siku zote wewe ndio unayeomba msamaha hata kama kosa ni lake, yaani hawezi kukubali kosa kamwe.
Kumi na moja, yuko busy na simu hata mkiwa pamoja au anazima simu mkiwa wote na endapo atapokea anajibu kwa kifupi au anajibu kwa Ku"fake" sana yaani unajua tu hii simu hii.....
Kumi na mbili, haruhusu uende kwake bila appointment, yaani hataki surprise na ukifika hataki ukae sana.
Ushauri, Acheni Umalaya tafuta Mchumba umuoe au akuoe hutapata hizi mambo