Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,192
- 5,179
Kwamba kikiwa kipato cha nguvu hutesekiHahahaaa kwa kweli tunateseka , ila asilimia kubwa 77% ambao vipato vyetu vya kuunga unga
Kwamba kikiwa kipato cha nguvu hutesekiHahahaaa kwa kweli tunateseka , ila asilimia kubwa 77% ambao vipato vyetu vya kuunga unga
mkuu hii hali naipitia mimi,yaani ata aje joketi kidoti namuona wa kawaida tuUkiona mapenzi hayakuumizi tena, hongera…. ila ujue ndo ushakuwa malaya sugu.
Ndio mkuu nikizipata utakuwa mwisho w kuteseka kwakweliKwamba kikiwa kipato cha nguvu huteseki
Utakuwa hupendwi sasa unaibiwa tundio mkuu nikizipata utakuwa mwisho w kuteseka kwakweli
Apo umebongaa.........👊👊👊Kuna watu mna mioyo ya kung'ang'ania...hivi mtu umempigia amekujibu nyodo au kakukaushia unaendelea kumtafuta wa kazi gani?au huyo kiumbe huwa anakunya noti za dollar mia mia?
Hapo ujue kuna msela mwingine ndo anampasua wewe unatoa tu pesa ya matumizi.Ukiomba mzigo ghafla ana bridi
Unamtumia kifurushi cha sms af mnachat sms 10 tu kesho tena unaambiwa sms zimeisha.
Unaambiwa usiku mwema saa 2 af ukipiga saa 4 simu inatumika hizo ndy sababu zilizofanya niwe single.
😀 😀Ikiwa unaomba msamaha wewe wakati yeye ndiye kakosea ili mradi tu yaishe maisha yaendelee! Ujue unaforce
Nataka utamuNdio halafu ukishaona hivyo kwanini unaendelea
Hujui kwa nini? Like serious? Huo ndo umalaya wenyewe sasa kama unasikiaga about umalaya.Mimi nikishafanyaga na mwanaume nakosa hamu yakuwa naye ndio imetokaga sijui kwanini.
Una buku ten hapo?Chochote tu
Ulitaka kumaanisha nini!!???Ulikuwa nini kudai Katiba Mpya ?
AhaaNataka utamu
Njoo DM nkupeUna buku ten hapo?
Duuu,mnapitia magumuUkimpigia cm anataka uongee point, ukimtania au ukimchekesha kidogo anakata cm, hapend maongez marefu