Dalali akichukua pesa zaidi yako utakubali

Dalali akichukua pesa zaidi yako utakubali

jamaa zangu wametoana ngeu kwa sababu hiyo. Jamaa katangaza anauza ng~ombe sh 300,000/ sbb ya dharula, hakupata mteja. Kaomba msaada kwa jamaa, jamaa akamleta mteja kwa 750,000/, shughuli ilikuwa pevu. Mnunuzi kampenda sana yule mnyama, alikuwa mbegu bora.
Mwnyw hapo sikubali, atleast ht ingekuwa 500k nngemuachia
 
Mfano wewe unauza nyumba yako kwa milioni 10 umezunguka kutafta wateja mwaka mzima umekosa

Ukaamua kutafta dalali ukampa Kazi ya kuuza

Jioni ya siku hiyo anakuja na mteja na anainunua hiyo nyumba kwa milioni 100 dalali anatoa milioni 10 yako anakupa Kisha yeye anabaki na milioni 90

Je utakubali?
Huu mfano hauna uhalisia. Anyway namwambia nimeahirisha kuuza.
 
Mfano wewe unauza nyumba yako kwa milioni 10 umezunguka kutafta wateja mwaka mzima umekosa

Ukaamua kutafta dalali ukampa Kazi ya kuuza

Jioni ya siku hiyo anakuja na mteja na anainunua hiyo nyumba kwa milioni 100 dalali anatoa milioni 10 yako anakupa Kisha yeye anabaki na milioni 90

Je utakubali?

Funika kombe mwanaharamu apite.
 
Mfano wewe unauza nyumba yako kwa milioni 10 umezunguka kutafta wateja mwaka mzima umekosa

Ukaamua kutafta dalali ukampa Kazi ya kuuza

Jioni ya siku hiyo anakuja na mteja na anainunua hiyo nyumba kwa milioni 100 dalali anatoa milioni 10 yako anakupa Kisha yeye anabaki na milioni 90

Je utakubali?
Ntampa na makalio akichukua hizozote kha
 
Dalali mjanja (Mwene mtaji)apo anamalizana naww kwanza kwa kuinunua kwanza hiyo nyumba kwakiasi ulichokihitaji then anauza kwahiyo milion mia,sizan kama utalalamika popote utakapoona au kusikia kua nyunba uliyouza juzi milion 10 leo imeuzwa kwa milion 100
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom