Daladala

Daladala

ungemoakata kisha ukamwambia mama yake siku nyingine unaomba upakatiwe mtoto sio unamtupa tu kama jiwe.
ungemsaidia zaidi.
hapo kweli imeonyesha unaroho mbaya mkuu
 
Kwenye mwendokasi naona ndo wamefanya sheria kabisa kwamba wanawake wajawazito au waliobeba watoto wapishwe na wana siti zao maalum sasa kuna siku mimi na dada mmoja tulijichanganya tukawahi siti zao

Akaja mama kabeba mtoto wenzie wakamwambia "si uwaombe hao wadada wakupishe" akawajibu eti "kwani hawanioni hadi niwaombe ona watu wenyewe wanavyogeuka pembeni utafikiri hawanioni"

Sasa bora hata mimi yule mwenzangu alivyosikia vile ndo kabisa akainamisha kichwa kulalia pochi yake na mimi siyo kwamba nisingeweza kumpisha

Ila niseme tu ukweli siku hiyo nilikuwa najisikia vibaya hovyo yaani hata pochi yangu tu nilikuwa naiona nzito sembuse kupakata mtoto wa mtu au kusimama daah

Kuanzia siku hiyo nikasema sipandi tena mwendokasi bora nijitahidi niwe nawahi treni tena ukizingatia nilipokuwa naishi kwenda kwa treni ni moja kwa moja wakati kwa mwendokasi nazunguka

Sema tu ni vile treni kuna siku nilikuwa nachelewa naikosa na ikienda hadi ije irudi tena giza lishaingia sasa daladala ndo usiseme yaani zile unaweza ukasukumana na watu milangoni na bado ukakosa hata nafasi ya kusimama tu achilia mbali kukaa

Tena siongelei zile daladala za hiace au coaster naongelea zile eicher zenye milango miwili mbele na nyuma ila bado zinajaa hadi zinaegamia upande mmoja sasa fikiria umetoka kukanyagana na watu umechoka halafu unafika unakaa mtu anaomba umpishe akae

Inabidi tu ukubali maana ndo ubinadamu huo leo kwake kesho kwako ila aise maisha ya dar mixer lile joto kama hauna usafiri wako ni mtihani kwa kweli bora hata nilivyohamiaga mkoani
 
Umehamia wap mrembo
Kwenye mwendokasi naona ndo wamefanya sheria kabisa kwamba wanawake wajawazito au waliobeba watoto wapishwe na wana siti zao maalum sasa kuna siku mimi na dada mmoja tulijichanganya tukawahi siti zao

Akaja mama kabeba mtoto wenzie wakamwambia "si uwaombe hao wadada wakupishe" akawajibu eti "kwani hawanioni hadi niwaombe ona watu wenyewe wanavyogeuka pembeni utafikiri hawanioni"

Sasa bora hata mimi yule mwenzangu alivyosikia vile ndo kabisa akainamisha kichwa kulalia pochi yake na mimi siyo kwamba nisingeweza kumpisha

Ila niseme tu ukweli siku hiyo nilikuwa najisikia vibaya hovyo yaani hata pochi yangu tu nilikuwa naiona nzito sembuse kupakata mtoto wa mtu au kusimama daah

Kuanzia siku hiyo nikasema sipandi tena mwendokasi bora nijitahidi niwe nawahi treni tena ukizingatia nilipokuwa naishi kwenda kwa treni ni moja kwa moja wakati kwa mwendokasi nazunguka

Sema tu ni vile treni kuna siku nilikuwa nachelewa naikosa na ikienda hadi ije irudi tena giza lishaingia sasa daladala ndo usiseme yaani zile unaweza ukasukumana na watu milangoni na bado ukakosa hata nafasi ya kusimama tu achilia mbali kukaa

Tena siongelei zile daladala za hiace au coaster naongelea zile eicher zenye milango miwili mbele na nyuma ila bado zinajaa hadi zinaegamia upande mmoja sasa fikiria umetoka kukanyagana na watu umechoka halafu unafika unakaa mtu anaomba umpishe akae

Inabidi tu ukubali maana ndo ubinadamu huo leo kwake kesho kwako ila aise maisha ya dar mixer lile joto kama hauna usafiri wako ni mtihani kwa kweli bora hata nilivyohamiaga mkoani
 
Kusema ukweli kuna watu siku hizi kwenye daladala wanaona kama ni wajibu kumpisha kwenye kiti. Kumbebea mtoto, n.k wakati si hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom