Daladala

Daladala

Merciana

Senior Member
Joined
Sep 6, 2017
Posts
103
Reaction score
327
Leo nilipanda kosta ya kawe nikakaa siti ya kwanza kabisa pembeni ya mlango.Njiani akapanda mmama watoto wanne na binti,sasa yule mama akambwaga mtoto mmoja miguuni kwangu asiseme kitu.

Me nikanyamaza tukatembea vituo kama vitatu mtoto akaanza kucheza cheza mamaake anamuuliza una nini mtoto hasemi....mama na binti walikua wamesimama pembeni yangu mama akamnong'oneza binti na mimi nasikia.

"Huyu dada anaroho ngumu hata kumpakata mtoto kama hamuoni itakua hajazaa... sijui anashuka wapi nikae".

Sikushindwa kumpakata yule mtoto sema mama mtoto alijifanya hajielewi alishindwa kuniomba nimpakatie mtoto wake?

Kumsaidia mtu siyo lazima ila kama unahitaji msaada kwanini usiombe?nilishuka Morocco nikamuachia nafasi.
 
Leo nilipanda kosta ya kawe nikakaa siti ya kwanza kabisa pembeni ya mlango.Njiani akapanda mmama watoto wanne na binti,sasa yule mama akambwaga mtoto mmoja miguuni kwangu asiseme kitu.

Me nikanyamaza tukatembea vituo kama vitatu mtoto akaanza kucheza cheza mamaake anamuuliza una nini mtoto hasemi....mama na binti walikua wamesimama pembeni yangu mama akamnong'oneza binti na mimi nasikia.

"Huyu dada anaroho ngumu hata kumpakata mtoto kama hamuoni itakua hajazaa... sijui anashuka wapi nikae".

Sikushindwa kumpakata yule mtoto sema mama mtoto alijifanya hajielewi alishindwa kuniomba nimpakatie mtoto wake?

Kumsaidia mtu siyo lazima ila kama unahitaji msaada kwanini usiombe?nilishuka Morocco nikamuachia nafasi.
We nae tutokee hapa ndo nyie mkitenda wema na shukran mwataka mtu anapoingia na mtoto kwa gar kama huwez kumpisha siti unampokea mtoto chap sasa ww unataka kutukuzwa wakat na ww n mpanda daladala ipo siku utakumbuka uliyoyafanya
 
Nitafute nikununulie gari lako uachane na madaladala....
 
We nae tutokee hapa ndo nyie mkitenda wema na shukran mwataka mtu anapoingia na mtoto kwa gar kama huwez kumpisha siti unampokea mtoto chap sasa ww unataka kutukuzwa wakat na ww n mpanda daladala ipo siku utakumbuka uliyoyafanya
Kama alikua haitaji msaada kwanini aniseme?si angenyamaza
 
Ningekuwa mimi ningemwambia mama hebu chukua mtoto wako
Ni bora ukamrudisha then, lakini pia ni vyema zaidi ukimweleza tu huyo mama kuwa kitendo hicho sio cha kistaarabu na alichopaswa kufanya. Then ukaendelea kumbeba mtoto kiroho safi tu.
 
Ni bora ukamrudisha then, lakini pia ni vyema zaidi ukimweleza tu huyo mama kuwa kitendo hicho sio cha kistaarabu na alichopaswa kufanya. Then ukaendelea kumbeba mtoto kiroho safi tu.
Kuna watu wengine hawawezi kuongea ila mimi nisiyeweza kuvunga namchana laivu....kuendelea kumbeba au kutoendelea inategemea
 
Ni bora ukamrudisha then, lakini pia ni vyema zaidi ukimweleza tu huyo mama kuwa kitendo hicho sio cha kistaarabu na alichopaswa kufanya. Then ukaendelea kumbeba mtoto kiroho safi tu.
Mtoto anamiaka kama sita hivi siyo mdogo kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom