Huu ni mwanzo tu, inabidi yafanyike mambo ya kuwafungua macho watanzania - kwani njia rahisi imeshindikana sasa inabidi huduma muhimu wazikose ndipo watajua umuhimu wa sanduku la kura... ukiniuliza mimi kuhusu mgao nitakwambia bora ubungo ilipuke tuchukue hata miezi miwili gizani ili mpaka vikongwe watazinduka..
Wenzetu walivuka kipindi cha mageuzi kuelekea utawala bora na wa haki kwa kumwaga damu sisi hata giza linatuogopesha, bora huduma za jamii zikosekane kwa kipindi kirefu halafu tuone wale wapambe wa magambas kama watabaki na misimamo yao..