Sababu ni kuwa siku zake zimefikaSababu ya kifo chake ni nini jamani?
Sababu ni kuwa siku zake zimefikaSababu ya kifo chake ni nini jamani?
Ni kweli baba mchungaji ila kuna ile kitu wanaita cause of death.Je yake ni natural cause au aliugua? Apumzike kwa amani daktari bingwa MarealleSababu ni kuwa siku zake zimefika
Ni kweli baba mchungaji ila kuna ile kitu wanaita cause of death.Je yake ni natural cause au aliugua? Apumzike kwa amani daktari bingwa Marealle
Natural cause of death means there are no external factors involved like suicide or homicide. Was Dkt.Marealle ill?Kuugua magonjwa yasiyo ya kuambukiza na ukapata access ya matibabu ila hujapona ni natural cause of death.. vifo vya ajali na uzembe wowote ndio vinakataliwa kuwa natural cause
Kibaya zaidi hawa wapiga kazi wetu hawajaongezewa salary tangu 2014Hawa ndio wapiga kazi kwenye nchi na sio wakina Polepole wazee wa porojo tu.
Hawa ndio watu muhimu ktk taifa.
Natural cause of death means there are no external factors involved like suicide or homicide. Was Dkt.Marealle ill?
Deportivo la ToyotaSababu ya kifo chake ni nini jamani?
Watu wengi ukiwemo wewe hawajui kuwa natural death ni pamoja na kuugua. Natural death is due to age or diseases. Ni nature ya binadamu. Kinyume chake ni kifo cha ajali au kupigwa mapanga,risasi etc.Ni kweli baba mchungaji ila kuna ile kitu wanaita cause of death.Je yake ni natural cause au aliugua? Apumzike kwa amani daktari bingwa Marealle
Mkuu itakuwa ni Covid hiiAlikuwa anasumbuliwa na nini Mkuu? RIP Dr Marealle.
Atangulie tu. Ukifika hapo hospitali wananata sana. Huna pesa hakuna matibabu. Washenzi sana.Tanzia, Mkurugenzi Mtendaji wa MOI Dkt Respicious Boniface anasikitika kutangaza kifo cha Mtumishi wa MOI Dkt Paul Gasper Marealle (Daktari bingwa wa Mifupa) kilichotokea usiku wa kumakia tarehe 14/10/2020 katika Taasisi ya MOI. Apumzike kwa Amani
Kwa masikitiko makubwa napenda kuwajulisha umma wa watanzania na wadau wa masuala ya afya kuwa Daktari Bingwa wa Tiba ya Mifupa pale MOI, Dkt. Paul Gasper Marealle amefariki dunia usiku wa jana kuamkia leo.
Dkt. Marealle pia alikuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka nchini, Mwenyekiti wa Kamati ya Tiba TFF na Mjumbe wa Kamati ya Tiba.
Binafsi nimemfahamu Dkt. Marealle pale MOI kama Daktari wangu baada ya kufanyiwa upasuaji wa mkono ili kuunganisha mifupa ambayo ilikuwa imevunjika vunjika baada ya kupata ajali mbaya. Aliendelea kunihudumia mpaka pale niliporidhika na maendeleo yangu na kuacha kwenda MOI. Pia alinishauri kutokutoa vipande vya vyuma vilivyokuwa vimeshikilia mifupa ili iunge.
Kwaheri Dkt. Marealle
Kunja ngumi ya mkono wa kulia alafu jipige kifuani mara ishirini huku ukirudia rudia maneno haya "mimi ni fala sana"Atangulie tu. Ukifika hapo hospitali wananata sana. Huna pesa hakuna matibabu. Washenzi sana.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
I am aware about that. Natural causes of death include homicide and suicide. Nilichokuwa nauliza ni underlying cause of death? AsanteWatu wengi ukiwemo wewe hawajui kuwa natural death ni pamoja na kuugua. Natural death is due to age or diseases. Ni nature ya binadamu. Kinyume chake ni kifo cha ajali au kupigwa mapanga,risasi etc.
Swali langu la msingi lilikuwa ni underlying cause of death.Naona umeenda ku google halafu ukacopy and paste ulichokitaka...
Kuumwa ni natural death pia.. nenda kagoogle vizuri about natural death ama kasome cause of death...
Narudia tena kuumwa ni natural death... iwe kansa, kisukari, moyo, stroke .
Accident wala suicide haiwezi kuwa natural death sababu external factor ndio imesababisha ufe.. ila ugonjwa ni internal factor...
Kweli mkuu?RIP Dr. Nimeambiwa na mmoja wenu hapo mhimbili kuwa corona bado ipo na inua tuchukue tahadhari