Watu
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 3,231
- 1,470
Usiku wa kuamkia jana wanachuo wa Taasisi ya Afya cha Bulongwa Hospitali (Maarufu kama chuo cha Dental na Nursing) wamemvamia, kumpiga, kumjeruhi na hatimaye kumuua daktari wa hospitali ya Bulongwa Dr. Jumbe Maphingo.
Sababu bado haijajulikana
Innà lillàhi wa-inna ilayhi raajiuun! Allah Amweke mahali pema
Sababu bado haijajulikana
Innà lillàhi wa-inna ilayhi raajiuun! Allah Amweke mahali pema