Daktari aliyesoma CBG

Acha ushamba na ujinga. Vyuo vipi kufundisha madaktari sio kupitisha madaktari. Kama chuo kinafanya kazi ya kufundisha kwa ufasaha hata mtu wa HGL anaweza kusoma udaktari.

Ninamjua Daktari Bingwa sana tu tena maarufu Uk alisoma Muzic na Historia baaday akaamua kuzoma Nursing Then Medicine sasa hici ni MR ( tOP SURGEON) Sijui lakini hahaaaa
 
Sielewi ngoja nifanye kazi. Labda kuna mtu atakuja na point ya kufanya nielewe.
 

Huna ushahidi. Kaa kimya. Tulia.
 
hivi ndio vitu wabongo mnavyojua kudadadadeki zenu...kushindanisha shindanisha vitu..mara udsm bora kuliko udom...upuuuzi bin uswendeko mgwero kabisa.....endeleeni kubishana kudadadeki zenu...Kenya big up na sasa tunapiga kura hata ukiwa nje ya nchi....dadadadeki nyie mpaka mwaka 2500 ndio mtatufikia....

unakutana na ri profesa lina Phd bar uku limekumbatia shangudoa likijitamba na kuponda wenzake upuuzi kabisa......
 
Sasa mnaoenda pia Kusoma CBG ni Vilaza..nakwambia mtu aliyepata div 4 PCB angesoma CBG angepata div 1 au 2..believe it
wewe jamaa jinga mtozeni wewe.....unaaibisha umri wako na wazazi wako jitu zima pumba.....wabongo mna kazi sana na nchi yenu.......
 
Nimependa sana huu msemo mkuu!

mkuu tuuongee ukweli, vyuo vyetu vina vigezo vilivyowekwa kwa ajili ya watu kusoma medicine na vinafahamika kabisa. Sasa mtu alikimbia physics form two na kwenda short cut aafu anataka aje apewe upendeleo sawa na walopita the long way! Tupiganie mitaala ibadilishwe ili isiwepo watu wa kwenda kuumia na physics huku unaweza kusoma nutrition, geography au agriculture. Tusipiganie kwamba tupo sawa tukae wote darasa moja ndo tupewe vigezo sawa. Kuna wengine mpaka wanakuja kusema hgl anaweza kusoma medicine, tunajua kuna watu walikuwa na a za physics, biology nk na wakaenda kusoma hgl na egm. Hao sio vilaza ila lazima uwe na watu walio tayari kuwekeza vya kutosha ndo waje waone matokeo. Hiyo ya kufananisha nchi za ulaya na bongo tuko tofauti. Kwa wenzetu kuna masomo kila mtu anasoma ndo anaenda chuo. Huwezi linganisha na tz ambako mtu anakuwa na f ya maths, physics, chemistry na mengine anakuwa na d na c. Ni taifa gani au wanasayansi gani mnawatengeneza? Of course kwa sababu ya elimu yetu ya kukariri ndo maana kila mtu anaweza kufanya lolote. Lakini tusipende matokeo mazuri bila investiment.
 

Huyu ni aina ya madaktari wetu wa kesho dah!
Full kujisifu na kuamini yeye pekee ndiye anayejua na wengine wote wataga mayai(laymen),hata wafundishwe vipi hawatajua.
ACHENI TABIA HIYO NDUGU ZANGU!
 

Umenena kweli nadhani mtoa mada amepotoka eti, imenikumbusha nilinyonyimwa kusoma MD pamoja na kuwa na mfadhili eti sijasoma Physics kwani nilisoma CBA basi ikabidi niende SUA lakini kwa sasa si regreat ila sikuona sababu ya kulazimisha lazima PCB. Nadhani course yingi huangalia pia O,level ulisoma nini jamani.
 

acheni tabia hizo ndugu zangu
hata hao waliosoma pcb bado vyuoni wanakariri tu, ndo maana kila uchao wanakimbizana na vitini, hawapekui vitabu.
 
we fluid pungunza ubumbumbu,kozi ngumu ni kama ifuatavyo,medicine kitu gani we
1 veternary medicine
2 engineering
3 Pharmacy
4 medicine(watu wa kukariri )
 
hivi biophysics dsiu hizi haifundishwi tena huko muhimbili? ama biochemistry hadi mtu wa cbg aonekane kuwa incompetent?

mimi sijasoma medicine wala pharmacy lkn kwa yale niliyoyasoma kwenye chem na bios yamenifanya niwe almost a medical dr or a pharmacology.na ninafanya vyema sana kwenye hiki ninachokifanya.

swala hapa si kusoma physics bali swala ni vyuoni wanapewa ile dose yenye tija?? kama wanapewa nyanga znye tija hata aliyesoma hgk anaweza kusmea udaktari pasi shida yyte ile.
 


1st year=biochemistry is chemistry,
anatomy is biology
physiology is biology+chemistry+olevel physics is enough
2rd year= parasitology+microbiology=main ly biologyand chemistry
3rd year= pharmacology= chemistry+biology,
4th year= clinical rotation
5th =clinical rotation
other radiology is just introduction haitaji physics ya ALEVEL
ECG=only basic issues ndizo zinafundishwa only physics ya olevel inatosha
so inconclusion no effect of physics in medicine
 
Reason logically..don't use anger..physics opens your mind, radiology..cardiology..you need physics In so many aspects of medicine ..Tanzania kwa ubabaishaji!!

Unabishana na mtu ambae ni mwalimu wa chekechea? Hapo uliposema radiology na cardiology mbona umemchanganya sana? Anatafuta kamusi sasa hivi
 
we fluid pungunza ubumbumbu,kozi ngumu ni kama ifuatavyo,medicine kitu gani we
1 veternary medicine
2 engineering
3 Pharmacy
4 medicine(watu wa kukariri )
Kwahiyo kumbe kutibu kiumbe kisichojujua kulalamika au kushtaki ukimalpractise ni kitu kigumu kuliko kutibu kiumbe Kama binadamu! Am surprised!
 
Kwahiyo kumbe kutibu kiumbe kisichojujua kulalamika au kushtaki ukimalpractise ni kitu kigumu kuliko kutibu kiumbe Kama binadamu! Am surprised!
hebu jiulize ata wewe mweyewe kutibu kitu/mnyama asiyeweza kujieleza (kutoa fully history) ma binadamu anayeweza kutoa maelezo wapi kuna ugumu?anayetibu wanyama ni bora zaidi,vet ni nomaa,iyo internal medicine,obgy,paediat very simple like kumsukuma mlevi.
Narudia kusisitiza tena CBG inatosha kabisa mtu kusoma kozi ya medicine,bila shida yoyote ile.
Mzee fluid unaenda kuspecialize lini ?ako kadegree kamoja ka medicine kanatosha?
 
Kwa mujibu wa Guide Book ya TCU (pdf version), sifa za kujiunga na MD course kwa:

MUHAS:


SFUCHAS:
Three principal passes at "D" grade or higher in Chemistry or Biology/Zoology or Physics provided the other two subjects are not below "E" at A-level.

UDOM:
Three principal passes in Physics, Chemistry and Biology/ Zoology (Grade D or better) at A' level or a minimum of 5 grade points.

CUHAS


HKMU
Two principal level passes one of which must be at level D or above in Biology, Chemistry or Physics


KCMC College
Three principal level passes in Physics,Chemistry and Mathematics.
Maths? I guess kulikuwa na typing error!


Hilo la CBG limeingilia wapi tena?
 

Asante kaka kwa uchambuzi mzuri , nimekugongea like kubwa sana .
 
Myself I'm a medical student(MD) ila najutia muda wangu niliopoteza A-Level. May be advantage iliyopo ni ile confidence ambayo mtu wa PCB anakuwa nayo kwamba she/he is deemed to be a doctor so anakuwa na kaconfidence fulani. Lakini kiukweli hapa inayotumika sana ni biology na chemistry kidogo.

Msingi wa medicine ni physiology,anatomy, biochemistry na pharmacology. Kwa mtu aliyesoma kweli medicine anajua fika kwamba kila ugonjwa unaokutana nao kitu cha kwanza unatakiwa kujua pathophysiology(which is purely biology!). Hata pharmacology ambayo wengi wetu tunamistake kuiita chemistry based,iila aliyesoma pharmacology atakubaliana nami kuwa msingi wake ni pharmacodynamics na pharmacokinetic which are purely physiology(biology)!

Kwa tafsiri isiyo rasmi,physiology is how the living body functions-which is purely biology! Unaposema Cardiology,ninavyofahamu mimi ni study of heart,kwa maana na ya anatomy,physiology na biochemistry ya moyo.Kwa tafsiri isiyo rasmi maana yake ni jinsi moyo unavyofanya kazi-which is purely biology!

Radiology:hapa labda sijamwelewa mleta mada ana maana gani! Kwa sababu kama ni vifaa vinavyotumika,ni kweli watengenezaji wanatumia phyisics lakini tusisahau kuwa wanaovitengeneza sio madaktari kama yeye! Wanatengeneza ni wataalamu wa electronics and the like! Madaktari wanavitumia tu. Na ili daktari au radiologyst atumie kifaa hicho,kitu cha kwanza ni lazima awe anajua anatomy na physiology-which is purely biology! Mbona hatusemi computa zitumiwe na waliosoma electronics tu?!

Mi nadhani ktk maisha tunategemeana.So,kuwa daktari sioni kama is an extraordinary thing kihivyo. Kinachotakiwa ni kila mtu kuthamini uwepo wa watu wengi.Kwa mfano,mimi naamini maisha hayaendi bila kuwepo makuli,watu wa mikokoteni,waokota makopo barabarani and the like!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…