La Cosa Mia
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 271
- 127
kubali tu uwezo mdogo. Naona watu mnatafuta namna ya kusoma kozi moja na waliofaulu physics. Kubalini tu kwamba, aliyekuzidi kakuzidi
Tatizo mnakua maumbo tu ila akili bado za kisekondari......bahati nzuri wanaokujibu wengi hapa ni madaktari yani hudanganyi mtu.....umri huo sio wa kubishana mambo ya kitoto....piga kazi tuone elimu imekusaidia usije kuishia kufulia kama wazee wenu wa zile kota za muhimbili pamoja na pHD zao....aibu sana madaktari......