Dakika 5 baada ya kuachiwa huru( mandela)

tamimusalim

JF-Expert Member
Jun 17, 2014
1,822
494
ImageUploadedByJamiiForums1454831019.185342.jpg
 
Mandela now kipenzi cha wazungu,sijui aliwafanyaje wazungu mpaka wakampenda hivi?kuwasamehe walio wabagua kwa miaka mingi nchini mwao?au?
Ndio maana nasema wazungu wakikupenda sana ujue una shida moja ama nyingine na wakikuchukia ujue kuna kitu cha maana sana unawafanyia watu wako ila wao hawana manufaa nacho kwao.
 
Mandela now kipenzi cha wazungu,sijui aliwafanyaje wazungu mpaka wakampenda hivi?kuwasamehe walio wabagua kwa miaka mingi nchini mwao?au?
Ndio maana nasema wazungu wakikupenda sana ujue una shida moja ama nyingine na wakikuchukia ujue kuna kitu cha maana sana unawafanyia watu wako ila wao hawana manufaa nacho kwao.
Lazima watakuwa wanamchukia Magufuli.. Anataka nchi yake iwe donor kama wao
 
Kila nikicheki "Long way to Freedom" ya Idriss Elba namuona mandela kama mtu wa tofauti sana kwa yale mateso kule na miaka yote ile jela kuja kuwasamehe wale wazungu...Ni mtu shujaa sana
 
Kila nikicheki "Long way to Freedom" ya Idriss Elba namuona mandela kama mtu wa tofauti sana kwa yale mateso kule na miaka yote ile jela kuja kuwasamehe wale wazungu...Ni mtu shujaa sana
Imewasaidia nini majority wa nchi?
 
Kila nikicheki "Long way to Freedom" ya Idriss Elba namuona mandela kama mtu wa tofauti sana kwa yale mateso kule na miaka yote ile jela kuja kuwasamehe wale wazungu...Ni mtu shujaa sana
MKUU HATA ASINGEWASAMEHE ANGEWAFANYA NINI?
 
Mandela now kipenzi cha wazungu,sijui aliwafanyaje wazungu mpaka wakampenda hivi?kuwasamehe walio wabagua kwa miaka mingi nchini mwao?au?
Ndio maana nasema wazungu wakikupenda sana ujue una shida moja ama nyingine na wakikuchukia ujue kuna kitu cha maana sana unawafanyia watu wako ila wao hawana manufaa nacho kwao.
Ndio maana Mugabe anawashangaa watu wanavyomuona Mandela mtu wa maana sana kuliko the likes of Mwal. Nyerere
 
Back
Top Bottom