Dakika 45: Godbless Lema aunguruma ITV

Dakika 45: Godbless Lema aunguruma ITV

wee jamaa una mtindio wa ubongo kama siyo malale....unaandika sms badala ya habari
 
kuku huyu,naona yai linataka kutoka,wahi kitagioni ukatage
 
Mimi nimefuatilia kipindi hicho mbona sijaona chochote kibaya kwa lema au ushabiki umeutanguliza mbele kama tai
 
Eeee bhana eeee ! Tanesco mkileta ujinga huo mtachekwa sana .

Walipewa agizo kutoka "huko juu". Wametii. Wamekata. Ishu imeisha.

Nani anaweza kupata recording ya hicho kipindi? Mpaka ITV wakiweke kwenye ukurasa wa Dakika 45 mwezi utapita!

Alimwaga upupu mkali, umewawasha SANA kule #LumumbaKwaBukuSaba!
 
Ni live au recorded?, maana ikiwa live anaweza kuzungumzia habari za Jesca

Hatumjui huyo Jesca, lakini kingekuwa LIVE, kuna watu wangemwaga unga wao siku hiyo. Najua wamekata mambo MENGI aliyoyasema. Amezungumzia suala la maadili: "Maadili ni suala pana sana, linahitaji muda mrefu kuliongelea. Dakika 45 hazitoshi."

CCM full kuumbuliwa. Orodha ya wanaotakiwa kutumbuliwa kuhusu suala la Lugumi ni ndefu. Inamgusa hadi Attorney General!
 
Lema ni nani nchi hii hadi waache shughuli zao wamfatilie? Wana Arusha walipata hasara.
Ni mbunge wa Jimbo la Arusha mjini.Linaloliliwa na Magamba kwa gharama yoyote ile.Ni mbunge mpendwa ambaye ni chaguo la Mungu na wana Arusha aliyeshinda kura kihalali.
 
Nimemsikiliza Mh.Lema kwa umakini mkubwa.Nimeona wana Arusha wanachokifaidi kwa Mh.Lema.
Ni mbunge ambaye hana woga kwa kile anachokiamini,ana uwezo mkubwa kujenga hoja kuliko ukiwaunganisha wabunge kumi wasomi wa CCM kwa pamoja.Viva Kamanda GODBLESS Lema
 
Lema Amenifundi au Amenikumbusha kitu kikubwa sana kuhusu kujenga Maadili ktk familia zetu, thnx Kamanda Mungu wetu akubarki kwa baraka zote za Rohon, Akilin na mwilini
 
Back
Top Bottom