Dakika 45: Godbless Lema aunguruma ITV

Dakika 45: Godbless Lema aunguruma ITV

Lema ni nani nchi hii hadi waache shughuli zao wamfatilie? Wana Arusha walipata hasara.

Mkuu. GT hayuko hivyo, umepoteza credibility ya kuwa GT na kuwa mtumwa wa itikadi za siasa, GT ni analytical, anasikiliza, anachsmbua na kuchuja mambo, ukiona unakwepa hata kumsikiliza hata usiyempenda maana yake unakimbia hoja.

Sikiliza halafu pinga kwa hoja

Vv
 
itv wako sawa, kuliko kutuwekea porn, ila hata tom na jerry ni bora zaid ya lema
 
matumbo joto baada ya kusikia Lema atakuepo ITV
 
Afadhali huenda akatujuza kwa undani kuhusu Jesca KILAZA anayesoma chuo kikuu kinyume na utaratibu.
 
ubaya ni recorded...........hiki kipindi kilitakiwa kurushwa toka last week nilikisubiri kwa hamu nikashangaa hawakumuonyesha wakamleta mtu mwingine............
 
Kipindi kilikuwa kirushwe tangu jtatu iliyopita lakini kiliahirishwa mpaka jtatu hii. Yaani kimerekodiwa two weeks ago. Sijui km itv wamefanya mahojiano mengine na Lema hapa katukati kwa sababu mambo mengi yametokea wiki mbili hizi mfano hili la kufukuzwa bungeni juzi! Naamini itv au Sam Mahela atakuwa ameupdate hayo mahojiano!
 
Amakweli huwezi kuzuia mvua kunyesha, wamezuia mjengoni inanyesha uraiani😱😱
 
habar wakuu,kesho jumatatu katika kipindi kinachorushwa na itv cha dakika 45 atakuwepo katika mahojiano wazir kivul wa mambo ndani kamanda Godbless Lema ni matumaini yangu kamanda Lema atazungumza mambo mengi kuhusiana na mambo mbalimbal yanayohusu wizara ya mambo ya ndani likiwemo la Lugumi
Taarifa za kiuchunguzi zinadokeza kwamba nchi nzima inasubiri kwa hamu sana muda ufike ili MH LEMA ahutubie Taifa .
 
Hii thread mbona Lumumba mapovu yanawatoka kote kote juu na chini
 
Share na huku hizo nondo wengine TV zetu zimeisha vifurushi na local Chanel wameng`oa imebaki tbccm wengine tuna aleg nayo analogue dish nayo Chanel ten haipo
 
Eee bhana eeee ! Lema ananukuu maandiko matakatifu sasa ! Kumbe yuko vizuri sana kwenye mambo ya Mungu aiseee!!!
 
Back
Top Bottom