Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,475
- 43,821
Ndiyo mmiliki wa ITV?Kamuulize Nape!!
Ndiyo mmiliki wa ITV?Kamuulize Nape!!
umemeNatabiri kesho kutakuwa na mgao wa umeme kwanzia saa mbili usiku mpaka saa tano usiku nchi nzima
Woga wa nini? Si msubiri msikie atakavyo sema maneno ambayo mtayapimaKipindi kitakuwa live au recorded?
Woga kwa Lema? Kuna nini cha maana atakachoweza kusema Lema, hana uwezo wa kujenga hoja zaidi ya kandandia matukio.Woga wa nini? Si msubiri msikie atakavyo sema maneno ambayo mtayapima
Hapana!! Lumumba mmepigwa shoti ya radi mpaka maswali yenu yamekuwa yakitotn sana, naona mnazid kupoteana siku had sikuNdiyo mmiliki wa ITV?
Wauza unga wanaongeaga nini?Huyu mwizi wa magari ataongea nini zaidi ya pumba tu
hata hotuba yake ni rejea ya matukio yaliyopita hamna jipyaWoga kwa Lema? Kuna nini cha maana atachoweza kusema Lema, hana uwezo wa kujenga hoja zaidi ya kandandia matukio.
Eeee bhana eeee ! Tanesco mkileta ujinga huo mtachekwa sana .Natabiri kesho kutakuwa na mgao wa umeme kwanzia saa mbili usiku mpaka saa tano usiku nchi nzima
sa lema anajipya gani ?mbunge asiesoma hata hanisumbuiEeee bhana eeee ! Tanesco mkileta ujinga huo mtachekwa sana .
Kwi! Kwi! Kwi!Lema ni nani nchi hii hadi waache shughuli zao wamfatilie? Wana Arusha walipata hasara.
Kuuliza kipindi kitakuwa live au recorded ndiyo swali la kitoto?Hapana!! Lumumba mmepigwa shoti ya radi mpaka maswali yenu yamekuwa yakitotn sana, naona mnazid kupoteana siku had siku
......Woga wa nini? Si msubiri msikie atakavyo sema maneno ambayo mtayapima
Aise, unataka kunambia police ni wazembe kiasi hicho hadi mwizi tena wa Magari anaejulikana hadi na wewe halafu aendelee tu kua mtaani? Can't you be serious for once!!!!?Huyu mwizi wa magari ataongea nini zaidi ya pumba tu
....Hapana!! Lumumba mmepigwa shoti ya radi mpaka maswali yenu yamekuwa yakitotn sana, naona mnazid kupoteana siku had siku
Niulize kuhusu Jimbo la kaweKuuliza kipindi kitakuwa live au recorded ndiyo swali la kitoto?
Haya basi ngoja niukize swali la kikubwa.
Hivi ile hospital ya kina mama na watoto pamoja na machinga compelex ujenzi wake umefikia wapi huko Arusha?